Kwa wale wenye sifa hizi tu!!kuna ofa Murua

Hapo kwa red hebu kwanza tuambie jinsia yako...wewe ni he/she? Wengine hatudanganyiki na avatar.... Swahiba wangu klorokwini alishaingia choo cha kike akasahau kuchuchumaa alipopanga kukutana na King'asti akitegemea kuwa ni demu.......... Maweeeeeeee!!

Tuambie jinsia yako kaka/dada tafazali.

Jinsia yangu ni dada
 
Last edited by a moderator:
Duuh "atafikiriwa" hili neno limenifanya nijikumbushe sometyms maneno mengine ukiyaandika kwa haraka unaweza kula suddenly ban! Kama hilo, yatakiwa uliandike taaraatiibu, o/wise mmh !
Nashukuru nitamwintaview baadaye ,nimemweka kwenye list
 
Mamdenyi tafadhali, naona unamnadi mume wangu........habi habi.....


Mimi nakushauri kwa roho yangu nyeupe kabisa
toka na Asprin yeye ana sifa nyingi,
kubwa ni ile kuzimika baada ya kinywaji
kwa mila za kwetu itabidi uondoke na kile alichonacho kwa ajili
ya kumtunzia benki.
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwa red hebu kwanza tuambie jinsia yako...wewe ni he/she? Wengine hatudanganyiki na avatar.... Swahiba wangu klorokwini alishaingia choo cha kike akasahau kuchuchumaa alipopanga kukutana na King'asti akitegemea kuwa ni demu.......... Maweeeeeeee!!

Tuambie jinsia yako kaka/dada tafazali.

Hilo jineno babu!
 
Back
Top Bottom