Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
na mimi nimekuja.....haya sasa.....
Sasa Preta unafanya nini hapa wakati yeye amesema anataka mtu wa jinsia tofauti na ya kwake?
Last edited by a moderator:
na mimi nimekuja.....haya sasa.....
Hapo kwa red hebu kwanza tuambie jinsia yako...wewe ni he/she? Wengine hatudanganyiki na avatar.... Swahiba wangu klorokwini alishaingia choo cha kike akasahau kuchuchumaa alipopanga kukutana na King'asti akitegemea kuwa ni demu.......... Maweeeeeeee!!
Tuambie jinsia yako kaka/dada tafazali.
Nashukuru nitamwintaview baadaye ,nimemweka kwenye listDuuh "atafikiriwa" hili neno limenifanya nijikumbushe sometyms maneno mengine ukiyaandika kwa haraka unaweza kula suddenly ban! Kama hilo, yatakiwa uliandike taaraatiibu, o/wise mmh !
Orayt.... come this way babe...am all yours..:fish2:Jinsia yangu ni dada
Chagua kwani part ya mchujo
Mimi nakushauri kwa roho yangu nyeupe kabisa
toka na Asprin yeye ana sifa nyingi,
kubwa ni ile kuzimika baada ya kinywaji
kwa mila za kwetu itabidi uondoke na kile alichonacho kwa ajili
ya kumtunzia benki.
Orayt.... come this way babe...am all yours..:fish2:
Hapo kwa red hebu kwanza tuambie jinsia yako...wewe ni he/she? Wengine hatudanganyiki na avatar.... Swahiba wangu klorokwini alishaingia choo cha kike akasahau kuchuchumaa alipopanga kukutana na King'asti akitegemea kuwa ni demu.......... Maweeeeeeee!!
Tuambie jinsia yako kaka/dada tafazali.
Mimi ke
I know you know and I know that you know that am just kidding...:closed_2:whaaaaaaaat.....??????
Ushawahi kupewa talaka wewe?
I know you know and I know that you know that am just kidding...:closed_2:
Choice is yours...!Hahahaaaa....mwenzangu.......!
Baridi imezidi hata hakulaliki....!
Naja unipe joto.
Choice is yours...!
Waiting...!!!