emanuel prim
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 507
- 472
H
Cheki hapaView attachment 1679217
SawaMkuu mfano hapo duka lako imelala kama million ngap.? Kama hutojal naomba nije pm yako
Sijaelewa hapaTumia mfumo wa FIFO (first in, first out)
Mara chache chache toa zawadi ya pipi kwa wateja hasa watoto wanaotumwa hapo dukani. Hao watakuwa wateja waaminifu. Akitumwa dukani hataenda duka lingine bali atakuja dukani kwakoNajiuliza niongeze nini dukani kwangu. Bidhaa gani ni nzuri dukani na zina faida nzuri kidogo. Hili duka si la hali ya chini sana ni duka la kati.
Karibuni tujadili nini na nini kisikosekane dukani kwanza kina faida halafu kinavutia wateja.