Yes. Corona umenifundisha mengi. sina Tena kutapanya pesa kwa kuhonga na pombe (ni kununua chakula na kulipa bills tu). Movements zimepunguza Sana. Michango ya harusi na misiba nimesitisha kabisa.NIDHAMU ya pesa au sio!
kumbe naweza kujenga gorofa 1 kila mwaka eeh
Weka gharama ya kujenga hiyo gorofa kwa mteja kama atakuonyesha kiwanja. Hiyo inafaa sana kwa ajili ya kuwa panisha mabachela au wafanyakazi wanaofanya kazi maeneo ambayo hawakuweza kuhama na familia zao. Halafu kwenye mchoro ongeza kajiko ka square meter 6. Tuu kwa ajili ya matumizi ya kupika kipindi kama cha lock down kama kitatokea.Thamani ndogo maisha yaleyale
Chumba 2 zote ni masters
Ukumbi wa kutosha kabisa
Jiko na choo cha public View attachment 1462093View attachment 1462094View attachment 1462095View attachment 1462096View attachment 1462097View attachment 1462098View attachment 1462099View attachment 1462100View attachment 1462101View attachment 1462102View attachment 1462103View attachment 1462104View attachment 1462105View attachment 1462107View attachment 1462109View attachment 1462110View attachment 1462111View attachment 1462112View attachment 1462114View attachment 1462115
bei utaijua ukimaliza kujenga 😂
Mkuu jiko lipo chini na choo chake kwa ajili ya wageni juu chumba 2 na vyoo vyake.Weka gharama ya kujenga hiyo gorofa kwa mteja kama atakuonyesha kiwanja. Hiyo inafaa sana kwa ajili ya kuwa panisha mabachela au wafanyakazi wanaofanya kazi maeneo ambayo hawakuweza kuhama na familia zao. Halafu kwenye mchoro ongeza kajiko ka square meter 6. Tuu kwa ajili ya matumizi ya kupika kipindi kama cha lock down kama kitatokea.
Naomba na estimated cost mkuu mimi niko serious nataka kuwekeza eneo hilo ili wakati wa uzeeni niwe naishi kwa kudi tuu.Mkuu jiko lipo chini na choo chake kwa ajili ya wageni juu chumba 2 na vyoo vyake.
Umekadiria vipi kuwa unaweza ili hali bei ya ujenzi wa hiyo ghorofa kwa bei za leo haijawekwa?