Brown Mduma
Senior Member
- Sep 29, 2020
- 180
- 283
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza naomba mnipe muongozo mzuri.
Natarajia kununua simu kwa mtu kwa shilingi 280000 ni nzuri ila wasiwasi wangu ni ku risk pesa afu mwisho wa siku ikaniletea uhalifu wa kuuambiwa nimeuziwa simu ya wizi.
Anaeuza kasema yupo tayar kuandikisha ata police coz simu ni yake ila sijui sehemu husika ya kuandikishana kwa issue kama hii ni wap ndio maana nimeona ngoja niombe ushauri kwa WanaJF
Natarajia kununua simu kwa mtu kwa shilingi 280000 ni nzuri ila wasiwasi wangu ni ku risk pesa afu mwisho wa siku ikaniletea uhalifu wa kuuambiwa nimeuziwa simu ya wizi.
Anaeuza kasema yupo tayar kuandikisha ata police coz simu ni yake ila sijui sehemu husika ya kuandikishana kwa issue kama hii ni wap ndio maana nimeona ngoja niombe ushauri kwa WanaJF