Godwin M Mroso
Member
- May 25, 2013
- 90
- 32
Yap atakubaliwa matokeo yake si mabaya sana nimeona ana Biology c na physics c chemistry d na math d ,kwa pass hizo ana qualifysasa mkuu kwa matokeo yake hayo watamkubalia kweli? Hebu yaangalie tena afu uniambie kama kuna uwezekano!