Nimekuelewa mkuu asante kwa ushauri.tafuta biashara nyingne ndgu, hiyo unayotaka kujalibu utajutia sana yan matokeo yake kwa zaid ya 70% kati ya wanaojalibu kwa kufanya legally huwa ni hasara, kuna muda kodi katika gunia huzid cost ya kununulia gunia plus transport cost sasa hapo pata picha unakuja kutafuta nn!
800 per KgWakuu naomba kujua kuhusu biashara ya mkaa wa kutengeneza briketi, kama kuna mtu anajua soko na bei.
Drum/pipa la kuchomea malighafi unauzaje?Ukitaka ushauri ntakusaidia, na pia ukitaka complete line kutoka sawdust briquetting mpaka carbonisation process nitafute hapo unapata mkaa wa nguvu na pia utakuwa umesaidia conservation.
Good ideaUkitaka ushauri ntakusaidia, na pia ukitaka complete line kutoka sawdust briquetting mpaka carbonisation process nitafute hapo unapata mkaa wa nguvu na pia utakuwa umesaidia conservation.
Bei ya jumla kwa gunia shingi ngapHabari njema kwa wafanya biashara ya mkaa
Tunasafirisha na kusambaza mikaa toka kijijini kwa bei nafuu kwa gunia
Tunasambaza maeneo yote ya jiji la dar es salaam kuanzia gunia kumi na kuendelea
Mkaa ni mzuri Mzito na bei nafuu karibuni sana
Vile vile kwa wale wanao hitaji kwa matumizi ya ndani upo unapatikana bei nafuu hutojuta
Kama unahitaji usisite kutoa oda na eneo ulilopo kwa watssap 0654352424
Karibuni
Bei ya jumla kwa gunia shingi ngap
Nitakutafta ila mkaa wako uwe mzuri aisee ukiwa mbaya utaharibu sokoElfu 24000
Wa matumizi ya nyumbani gunia ni 26 ila sikuletei mpaka mlangoni utakuja kupokelea maeneo jirani na barabara kuu mfano kama unaishi moro road unapokelea ubungo au kimaraNa matumizi ya nyumbani ndio sh ngapi unauza
Sawa kiongoziNitakutafta ila mkaa wako uwe mzuri aisee ukiwa mbaya utaharibu soko
Sorry lakini hilo gunia la 26 linalinganaje au ndo kile kitoto cha gunia kinafika magotiniWa matumizi ya nyumbani gunia ni 26 ila sikuletei mpaka mlangoni utakuja kupokelea maeneo jirani na barabara kuu mfano kama unaishi moro road unapokelea ubungo au kimara
Ni ile sulfate kubwa lakini isiyo na lumbesa maana zinakatazwaSorry lakini hilo gunia la 26 linalinganaje au ndo kile kitoto cha gunia kinafika magotini
Okay hiyo bei ni nzuri, nasave numberNi ile sulfate kubwa lakini isiyo na lumbesa maana zinakatazwa