Kwa wale watu wa kikosi Maalum (Makomandoo) mliopo JamiiForums nitashukuru leo mkinijibu haya Maswali yangu yafuatayo

Umeandika mengi sana asilimia 90% ni uongo.Usifikiri komando lazima awe mwanajeshi.Kuna mtu anaweza kuwa komando lakini jeshi la magereza au polisi au pengine hata raia.Komandoo anaweza kuwa private lakini hana cheo chochote.Au akawa hata ofisa mkubwa.Ukomandoo ndani ya jeshi ni tawi moja wapo kama matawi mengine mfano ma dr na ma engineer.Ila labda kwa upande wa Jeshi komandoo katika medani zake wanafundishwa kutumia mikono zaidi kuliko silaha.
Kumbuka ukomandoo sio cheo ni fani kama fani zingine ndani ya jeshi .Magereza wapo makomandoo walio bobea.Unakumbuka wale waliotaka kupindua serikali mwaka 1982 mmoja wapo alikuwa anaitwa Tamim akauwawa pale kinondoni mkwajuni walipotupiana risasi na mtu flani jina namuhifadhi basi alikuwa ni raia wa kawaida tu japo alisomea ukomandoo alikuwa anaitwa Kamando Tamim hata kumpiga risasi walipata tabu sana.
We nawe mengine Kama hujui acha yakupite umeandika ujinga mtupu.
 
Tulipokuwa Quba kwenye mafunzo nilipenda wanatuchukulia kama raia wa kawaida hata madem wa kule unapita nao....kurudi sasa yaani ni kero ukitaka kujichanganya na wana wa kijiweni kidogo simu isha ingia ni kero sana, ulinzi ulinz ulinzi hata ukitaka kuendesha bila leseni unatumia kitambulisho au gwanda, kuna siku nilikula bure kwenye mgahawa mmoja wa kishua jijini hapo. Walivyoita mabaunsa nikatoa gamba wakanyong'onyea kama kuku wa mdondo.Ni kweli kuna siku niliamkiwa na dc halafu mimi ni janja tu sijagonga hata 30 nikaamkiwa na zee zima.
Kama kweli vile
 
Mleta Thread Upo Mkoa Gani?
Karibu Sana Morogoro Hapa Ujionee Hayo Uliyoyauliza
Morogoro Kuna Mengi Sana Hayo Uliyosema Ni Machache



SEAL TEAM Ya US Wanapatiwa Mafunzo Hapa
Aje hapa MZINGA tumuonyeshe kwa vitendo.
 
Tulipokuwa Quba kwenye mafunzo nilipenda wanatuchukulia kama raia wa kawaida hata madem wa kule unapita nao....kurudi sasa yaani ni kero ukitaka kujichanganya na wana wa kijiweni kidogo simu isha ingia ni kero sana, ulinzi ulinz ulinzi hata ukitaka kuendesha bila leseni unatumia kitambulisho au gwanda, kuna siku nilikula bure kwenye mgahawa mmoja wa kishua jijini hapo. Walivyoita mabaunsa nikatoa gamba wakanyong'onyea kama kuku wa mdondo.Ni kweli kuna siku niliamkiwa na dc halafu mimi ni janja tu sijagonga hata 30 nikaamkiwa na zee zima.
Mbona mnateswa na Akina Kingai?
 
Point 8
emoji736.png

Nyingine
emoji3582.png

Mmoja kati ya nilotoka nao tumbo moja Ni comando hakuna kilichobadirika kwake
Anawaheshimu wazee mtaani
Mambo ya kuripoti eti nani ajue yupo hakuna.
Amebadirisha mind set yangu kuwahusu Hawa watu
Kuna dogo pia ndugu wa mke wangu ni komandoo,mbona anaishi kawaida tuu.
 
mbona kama hakuna komando hapaaa

kwa experience yangu ndogo , hata wanajeshi ambao wanaojua mkono vizuri huwa hawana habari na raia, huwa hawajitutumui maana raia kwao ni mtu wanaemlinda sio wanaoshindana nae. Askari wa kawaida kidogo wanaeza ingia kwenye malumbano sababu ya kutambiana ila sio raia
Kule Temeke nadhani Pile bar,Kuna komando Aliya kisa jamaa alimtongoza demu wake.
 
Tulipokuwa Quba kwenye mafunzo nilipenda wanatuchukulia kama raia wa kawaida hata madem wa kule unapita nao....kurudi sasa yaani ni kero ukitaka kujichanganya na wana wa kijiweni kidogo simu isha ingia ni kero sana, ulinzi ulinz ulinzi hata ukitaka kuendesha bila leseni unatumia kitambulisho au gwanda, kuna siku nilikula bure kwenye mgahawa mmoja wa kishua jijini hapo. Walivyoita mabaunsa nikatoa gamba wakanyong'onyea kama kuku wa mdondo.Ni kweli kuna siku niliamkiwa na dc halafu mimi ni janja tu sijagonga hata 30 nikaamkiwa na zee zima.
Ugimbi
 
Makomando tupo wa aina nyingi mkuu kama vile makomando wa shida,Uchafu, Pesa sasa unaongelea makomando gani mkuu?
 
Back
Top Bottom