Kwa wale watabiri, nawakaribisha kuutabiri mwaka elf 2017 utakuaje?

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Mar 28, 2015
726
471
Naanza na mimi;

1.Uchoyo utaongezeka mara dufu kwa dhana ya kila mtu apambane na hali yake.
2.Uhalifu utaongezeka mtu yupo tayari akutoe koromeo kisa mia.
3.wenye wapenzi zaidi ya 5 watawapunguza kwani hawawezi kuwahudumia.
4.kutakua na vita kati ya wadada wa kazi na boss zao wa kike.
5.Kutakua na stress mwanzo mwisho kwani mvua hazieleweki.
6.Kasi ya ufungaji ndoa itapungua labda njoo tukae.

Karibuni mtuletee utabiri enyi watabiri
 
7.Makusanyo ya kodi(TRA) yatazidi kupungua
8. Kuna baadhi ya mawaziri watatumbuliwa
9. Ugumu wa maisha utazidi maradufu
 
'UTABIRI' wa mwaka 2017 uko hivi.

1/NJAA (Kuna uhaba wa mvua, hivyo mavuno yatakuwa kidogo)

2/UKATA (Serikali haina Pesa, Sekta binafsi hazina pesa).

3/MFUMUKO WA BEI (Sera mbovu za kiuchumi za kuunga unga zitaathiri uzalishaji na upatikani wa bidhaa).

4/KUFIRISIKA (Taasisi kadhaa za umma na binafsii zitafirisika kutokana na kushindwa kujiendesha).

5/MLIPUKO WA MAGONJWA (Ukosefu wa dawa za kutosha, kufichwa kwa wagonjwa wa magonjwa ya kuambukiza nk ndio vitachangia kulipuka kwa magonjwa)
 
Mwaka 2017....utaakisi na kuyaendeleza yote Magumu na Mepesi...Machungu na Matamu yote yaliyo malizikia mwaka 2016....

Kila mtu atavuna kile alichopanda 2016.......
 
'UTABIRI' wa mwaka 2017 uko hivi.

1/NJAA (Kuna uhaba wa mvua, hivyo mavuno yatakuwa kidogo)

2/UKATA (Serikali haina Pesa, Sekta binafsi hazina pesa).

3/MFUMUKO WA BEI (Sera mbovu za kiuchumi za kuunga unga zitaathiri uzalishaji na upatikani wa bidhaa).

4/KUFIRISIKA (Taasisi kadhaa za umma na binafsii zitafirisika kutokana na kushindwa kujiendesha).

5/MLIPUKO WA MAGONJWA (Ukosefu wa dawa za kutosha, kufichwa kwa wagonjwa wa magonjwa ya kuambukiza nk ndio vitachangia kulipuka kwa magonjwa)
Njaa sio utabiri hii dalili imejionesha
 
2017 Nyumba zitapanda bei taratibu sana na wanunuzi watakuwa wachache. Wengi wataishia kupanga tu

Kwa upande mwingine vita ya tatu ambayo imeanza itaendelea kwa kasi mwaka huu.
 
'UTABIRI' wa mwaka 2017 uko hivi.

1/NJAA (Kuna uhaba wa mvua, hivyo mavuno yatakuwa kidogo)

2/UKATA (Serikali haina Pesa, Sekta binafsi hazina pesa).

3/MFUMUKO WA BEI (Sera mbovu za kiuchumi za kuunga unga zitaathiri uzalishaji na upatikani wa bidhaa).

4/KUFIRISIKA (Taasisi kadhaa za umma na binafsii zitafirisika kutokana na kushindwa kujiendesha).

5/MLIPUKO WA MAGONJWA (Ukosefu wa dawa za kutosha, kufichwa kwa wagonjwa wa magonjwa ya kuambukiza nk ndio vitachangia kulipuka kwa magonjwa)
Kufirisika = kufilisika
Binafsii = binafsi
 
Back
Top Bottom