Imeisha hiyoOff side kabisa iyo huyo beki amekaa nafasi ya kipa na sheria haijamtaja kipa ndo mtu wa mwisho ila imetaja mchezaji tu ina maana haijalishi ni nani akiwa mwisho
Hakuna offside beki ameenda kuziba pengo la kipa syo ni ya sehem ya kuclear ko huwez kusema kwamba hyo ni offsideOff side kabisa iyo huyo beki amekaa nafasi ya kipa na sheria haijamtaja kipa ndo mtu wa mwisho ila imetaja mchezaji tu ina maana haijalishi ni nani akiwa mwisho
Safi kabsa mkuuKwa sababu mchezaji amekaa sehem ya kipa, kwa hiyo huyo mchezaji ana haki ya kuudaka mpira kisa amekaa sehem ya kipa?
Jamani mwaka 2010 Ghana vs Uruguay kwani wakat Suarez anadaka mpira pale alijisacrifice kwamba apewa card nyekundu na penalty ili mrad goal lisiingie?????? Sasa ana haki ipi ya kuudaka mpiraMambo haya magumu sana.
Wiki 2 zilizopita kuna beki alilala kabisa alitaka adake mpira sema bahati mbaya aliukosa. Hii ilikuwa ni baada ya kipa kutoka eneo lake
Hapana huo sio UPANDE WA NJEKwa mujibu wa sheria za offside je hii ni offside au sio offside.
Nomba tuanalie hii video.
View attachment 1203426