Rudia maelezo yako mkuuHiyo ni clear offside! Sheria inasema kuhusu mtu mmoja wa mwsho(sio lazima awe kipa) huyo beki wa golini amechukua nafasi ya mtu wa mwisho ambae ajavunja offsde.
Ilikuwa South Africa Vs MexicoHiyo ni offside, nakumbuka hiyo ilikuwa mechi ya ufunguzi Kombe la Dunia 2010. Tulipata shida sana kuelewa kwanini ni offside!
nakubariana na wewe hiyo ni clear offside kabisaOff side kabisa iyo huyo beki amekaa nafasi ya kipa na sheria haijamtaja kipa ndo mtu wa mwisho ila imetaja mchezaji tu ina maana haijalishi ni nani akiwa mwisho
Ilikuwa South Africa Vs Mexico
Kwa sababu mchezaji amekaa sehem ya kipa, kwa hiyo huyo mchezaji ana haki ya kuudaka mpira kisa amekaa sehem ya kipa?Off side kabisa iyo huyo beki amekaa nafasi ya kipa na sheria haijamtaja kipa ndo mtu wa mwisho ila imetaja mchezaji tu ina maana haijalishi ni nani akiwa mwisho
Hivi umejielewa ulichoandika??Off side kabisa iyo huyo beki amekaa nafasi ya kipa na sheria haijamtaja kipa ndo mtu wa mwisho ila imetaja mchezaji tu ina maana haijalishi ni nani akiwa mwisho