Habari zenu humu ndani nina bajeti ya shilingi laki 3 naweza pata simu gani nzuri na mpya ya kampuni ya Samsung isikose fingerplint
uwezo wake ukoje ndugu
Mwenzio anataka iwe na fingerprintina kila unachohitaji kwa bei hiyo.
Mwenzio anataka iwe na fingerprint
Fingerprint,uwezo wake ukoje ndugu