Tatizo ni kwamba hawezi jua nani yupo tayari kuingia vitani na nani hayuko. Ila bado ni ustaarabu(japo kiduuunchu) kumweleza mtu ukweli akikubali ajue kabisa anachokubali.
He he he dearest, umenigusa leo sitapata usingizi, umenigusa haswaaa....lol
Ngoja tupashane siri sasa,tukiwashtukia tunajua cha kuwafanya....lol
Lizzy huyu rafiki yangu anaamini mwanamke akishamvulia nguo tu basi anaweza akamwambia nimeoa na huyo nyumba ndogo wala asisitishe uhusianoKaaazi kweli kweli.
Hao wanawake nao sijui niwaweke kundi gani!!!
Lizzy huyu rafiki yangu anaamini mwanamke akishamvulia nguo tu basi anaweza akamwambia nimeoa na huyo nyumba ndogo wala asisitishe uhusiano
Lolzzz. . . pole kama nimekugusa pabaya dearest.
Hehehehe. . . .hawa ingekua inawezekana kuwasweka jela tungewatega makusudi na kuwaweka kwenye selo moja wakomae akili.
Hahahaha kuna moja niliona kwenye TV, girlfriend alienda kumfumania boyfriend wake akamkuta yuko na mke wake. Baada ya kumdanganya kua mke wake alishafariki. Walimchangia hao mpaka akakoma. . . badala ya kuchangiana wao kwa wao.
fedha..
Ata spend fedha nyingi kwako ili usimshtukie.. mfano :- Ukimwambia ya kwamba jua limewaka leo niko free twende beach at least tu
spend time together .ye anakujibu ohhhh hivi sjakwambia kuhusu ile project?? nimeanza kuifanyia kazi leo na itachukua muda , unaonaje kama utaenda "Shopping"ngoja nikuwekee fedha kwenye account yako.... ..... ...... ......
tabia ya hao cheaters ni kutumia pesa kununua muda wako.... ....
Tuko pamoja dearest. . .Sasa hao ndo wanawake wenye akili, unamgundua adui yenu ni nani,mnamtengeneza na kumuachia alama kidogo ya ukumbusho,asitende tena upuuzi huo....ipo siku kutakuwa na selo lao tu....!!
fedha..
Ata spend fedha nyingi kwako ili usimshtukie.. mfano :- Ukimwambia ya kwamba jua limewaka leo niko free twende beach at least tu
spend time together .ye anakujibu ohhhh hivi sjakwambia kuhusu ile project?? nimeanza kuifanyia kazi leo na itachukua muda , unaonaje kama utaenda "Shopping"ngoja nikuwekee fedha kwenye account yako.... ..... ...... ......
tabia ya hao cheaters ni kutumia pesa kununua muda wako.... ....
..hhaaa hhhaa, Nimecheka sana Mkuu,The Boss. Naona umeamua kuwapa pole.mhhhhh.....poleni sana.......
kwani si bora mtu useme tu nina mtu....ili ratiba iwe rahisi????
Kuna wengine wajanja, kwa kujua wewe ni part time tu wala hawaspend sana,yeye ni kukupa tu mi-ahadi, yaani baby in two years nitakuwa na business yangu au nitakuwa nimepata promotion....akijua by that time utakuwa historia kwake, akispend ni pale mko pamoja au vile vimahitaji vya kitoto kama vocha,hela ya saluni na tazi....!!
Hahahaha. . .
Safari za kushtukiza hawataki kabisaaaaaa.
Kila kitu lazima kipangwe mapema. Hehehe kuhusu pesa si mpaka awe nazo. . . lolz.
dahhhh
wanaume wengine jamani balaa tupu..
Halafu hapo atakwambia kwa maneno matamu wee, kumbe mlenda tuu..
1. Inategemea na hivyo visingizio vyako vina uhalisoa kiasi gani na kama vinaongozana na vituko vingine.1.Unaweza kudhani nacheat kwa ajili ya simu kwamba nina visingizio,je kama hivo visingizio ni vya kweli utaaminije kuwa
ni vya kweli?
then inakwaje umefanya naye dating mpaka hujui kama ana mke mpaka aogope we kumtembelea ofisini??