Kwa wale wapenzi/wafuasi wa Manara. Maamuzi ni haya kuanzia sasa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,321
11,386
Mumfuate anakoenda. Simba ni kubwa sana. Manara alikuwa mtu mdogo aliyekuzwa na Simba na baadaye akadhani yeye ni Simba pia.

Mimi sikuwa napenda aina ya usemaji wake muda mrefu sana. Nlikuwa natamani aondolewe. Hatutaki wasemaji wa hovyo hovyo kwa simba ya sasa.
 
...
IMG-20210728-WA0018.jpg
 
Mumfuate anakoenda. Simba ni kubwa sana. Manara alikuwa mtu mdogo aliyekuzwa na Simba na baadaye akadhani yeye ni Simba pia.

Mimi sikuwa napenda aina ya usemaji wake muda mrefu sana. Nlikuwa natamani aondolewe. Hatutaki wasemaji wa hovyo hovyo kwa simba ya sasa.
ulikuwa wapi siku zote?
 
Mumfuate anakoenda. Simba ni kubwa sana. Manara alikuwa mtu mdogo aliyekuzwa na Simba na baadaye akadhani yeye ni Simba pia.

Mimi sikuwa napenda aina ya usemaji wake muda mrefu sana. Nlikuwa natamani aondolewe. Hatutaki wasemaji wa hovyo hovyo kwa simba ya sasa.

Simba siyo Mo.

Manara hajaikosea Simba, Manara ni mwanachama amezozana na mwanahisa tu.

Njaa na unyonge wa fedha inawatafuna wafuasi wote wa Mo
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom