Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Kwenye TVs na radio hakuna muda napenda kama ule wa matangazo kama ni mpira au taarifa huwa nasubiria ipite nisikie/nione matangazo hasa yale yenye ubunifu.
Mpenzi wa matangazo weka lililowahi kufurahisha tuenjoy hapa.
Nitaanza na yangu penye masahihisho tusahihishane maana kukariri tangazo lote sio kitoto.
CRDB
Mzee: eeeh kijana ebu tuambie umejiandaandaaje kumchukua binti yetu.
mzee: una Nyumba kijana?
Kijana: ndiyo mzee
Mzee: Unagari?
Kijana: ndiyo E-Gx 100
mzee: una tembo mastercard?
Kijana: mmh hiyo mzeee
Mzee: hmmm kijana unataka kumchukua binti yetu kwenye dunia hii hauna tembo mastercard???
Mpenzi wa matangazo weka lililowahi kufurahisha tuenjoy hapa.
Nitaanza na yangu penye masahihisho tusahihishane maana kukariri tangazo lote sio kitoto.
CRDB
Mzee: eeeh kijana ebu tuambie umejiandaandaaje kumchukua binti yetu.
mzee: una Nyumba kijana?
Kijana: ndiyo mzee
Mzee: Unagari?
Kijana: ndiyo E-Gx 100
mzee: una tembo mastercard?
Kijana: mmh hiyo mzeee
Mzee: hmmm kijana unataka kumchukua binti yetu kwenye dunia hii hauna tembo mastercard???