Kwa wale wapenzi wa mahesabu, kuna tatizo gani hapa?

Inapaswa uainishe hilo unaloliona ni kosa, juu ya yote nimefuatilia na sijaona kosa lolote.
You are very smart, umepata. Hata hivyo kuna step moja tu imerukwa, au imeshughulikiwa pasipo kuwa na ufasaha unaohitajika kimahesabu.

Kwenye step ya pili kutoka mwisho, ameandika integral ambayo inaonyesha kuwa anafanya integration with respect to "u" na wakati huo huo kwenye equation yake akiwa bado anatumia variable ambayo ni "μ" (myu), na siyo "u". Kimahesabu hali hii siyo sahihi sana. Alitakiwa aseme kwanza kuwa "since u=μ, then......"
 
You are very smart, umepata. Hata hivyo kuna step moja tu imerukwa, au imeshughulikiwa pasipo kuwa na ufasaha unaohitajika kimahesabu.

Kwenye step ya pili kutoka mwisho, ameandika integral ambayo inaonyesha kuwa anafanya integration with respect to "u" na wakati huo huo kwenye equation yake akiwa bado anatumia variable ambayo ni "μ" (myu), na siyo "u". Kimahesabu hali hii siyo sahihi sana. Alitakiwa aseme kwanza kuwa "since u=μ, then......"


Hiyo Inategemea na level ya mtu.

Lakini upo sahihi mkuu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom