Hiyo Nyama kwetu Haramu ila Mchuzi wake twanywaNishasema kitimoto ni dhambi
Kitimoto ni dhambi
Nguruwe ni haramu
Narudia nguruwe ni haramu
Hiyo menyu ni balaa full majaribu
Nireteeni mbusi
Nireteeni mbusii
Nasema nireteeni mbusiiiiii
Rakini mbona mbusi haiwi hivyo ndugu zangu
My take:Simple and clear wanaokula kuleni kama imani yenu inawaruhusu, msiokula msile kwa kua imani yenu inawazuia.Cha muhimu tu kila upande usimletee shida mwenzio kama huli kausha waachie wanaokula wale, na kama unakula kila kistaarabu usifanye jambo ambalo litawaumiza wasiokula...Kila kitu na mipaka yake...Ushauri bora....kila mtu atabeba msalaba wake peke yake...kila mtu ana uhuru..tusiingiliane
Kimaro nishasema View attachment 1640976View attachment 1640977View attachment 1640978View attachment 1640979View attachment 1640980
Au Smirnoff black ice baridiiii
Na hao waliokatazwa wameruhusiwa wakiikuta kukiwa na njaa wameambiwa wale tena wahakikishe wameshibaNishasema kitimoto ni dhambi
Kitimoto ni dhambi
Nguruwe ni haramu
Narudia nguruwe ni haramu
Hiyo menyu ni balaa full majaribu
Nireteeni mbusi
Nireteeni mbusii
Nasema nireteeni mbusiiiiii
Rakini mbona mbusi haiwi hivyo ndugu zangu
My take:Simple and clear wanaokula kuleni kama imani yenu inawaruhusu, msiokula msile kwa kua imani yenu inawazuia.Cha muhimu tu kila upande usimletee shida mwenzio kama huli kausha waachie wanaokula wale, na kama unakula kila kistaarabu usifanye jambo ambalo litawaumiza wasiokula...Kila kitu na mipaka yake...Ushauri bora....kila mtu atabeba msalaba wake peke yake...kila mtu ana uhuru..tusiingiliane
Kimaro nishasema View attachment 1640976View attachment 1640977View attachment 1640978View attachment 1640979View attachment 1640980
Aliekuambia ni haramu naniKwa nini Mungu alimuunba nguruwe huku anajua fika kabisa ni haramu.
Kitimoto sio haramu, kitimoto ni kavu, roast, banika, choma au makangeNishasema kitimoto ni dhambi
Kitimoto ni dhambi
Nguruwe ni haramu
Narudia nguruwe ni haramu
Hiyo menyu ni balaa full majaribu
Nireteeni mbusi
Nireteeni mbusii
Nasema nireteeni mbusiiiiii
Rakini mbona mbusi haiwi hivyo ndugu zangu
My take:Simple and clear wanaokula kuleni kama imani yenu inawaruhusu, msiokula msile kwa kua imani yenu inawazuia.Cha muhimu tu kila upande usimletee shida mwenzio kama huli kausha waachie wanaokula wale, na kama unakula kila kistaarabu usifanye jambo ambalo litawaumiza wasiokula...Kila kitu na mipaka yake...Ushauri bora....kila mtu atabeba msalaba wake peke yake...kila mtu ana uhuru..tusiingiliane
Kimaro nishasema View attachment 1640976View attachment 1640977View attachment 1640978View attachment 1640979View attachment 1640980
kimsboy leo umetupia post moja matata sana. Hv unakunywa mbege au ulanzi?Nishasema kitimoto ni dhambi
Kitimoto ni dhambi
Nguruwe ni haramu
Narudia nguruwe ni haramu
Hiyo menyu ni balaa full majaribu
Nireteeni mbusi
Nireteeni mbusii
Nasema nireteeni mbusiiiiii
Rakini mbona mbusi haiwi hivyo ndugu zangu
My take:Simple and clear wanaokula kuleni kama imani yenu inawaruhusu, msiokula msile kwa kua imani yenu inawazuia.Cha muhimu tu kila upande usimletee shida mwenzio kama huli kausha waachie wanaokula wale, na kama unakula kila kistaarabu usifanye jambo ambalo litawaumiza wasiokula...Kila kitu na mipaka yake...Ushauri bora....kila mtu atabeba msalaba wake peke yake...kila mtu ana uhuru..tusiingiliane
Kimaro nishasema View attachment 1640976View attachment 1640977View attachment 1640978View attachment 1640979View attachment 1640980
We jamaa ni muislamu safi sana! Ni muislamu anayeijua dini yake na asiyeendeshwa na hisia bali fact!Mkuu hizo habari za haramu ziko kiimani na kitamaduni....
Imani haishikiki(not tangible)...
Ila ukiwa huria juu ya kila kitu....basi jua pia kuna WATU wasio na MIPAKA kwenye NGONO na KUJAMIIANA....
Wako wanaoona "kumwendea" dada wa damu,mtoto wa kumzaa,mtoto wa ndugu,Mjukuu SI TATIZO na WALA MSHIPA HAUWAPIGI...kwani kwa maneno yako "Mungu ameumba hivyo viungo"....
Wako wanawaendea WANAUME wenzao na wala mshipa HAUWAPIGI ..kwani Mungu "kaumba" hayo "wayatumiayo".
Kupanga ni kuchagua budaaa....
Mkuu wangu shukran kaka....We jamaa ni muislamu safi sana! Ni muislamu anayeijua dini yake na asiyeendeshwa na hisia bali fact!
Nilikuona hata kwenye uzi ule wa Thomas Aquinas jinsi ulivyokuwa ukimjibu yule muislamu mwingine!!
Nakukubali sana mkuu, Salute!
🙏We jamaa ni muislamu safi sana! Ni muislamu anayeijua dini yake na asiyeendeshwa na hisia bali fact!
Nilikuona hata kwenye uzi ule wa Thomas Aquinas jinsi ulivyokuwa ukimjibu yule muislamu mwingine!!
Nakukubali sana mkuu, Salute!
Sijaongea nimeandika aisee.hujui unachokiongea kijana
NdiyoNjooy Sakina?
Daaah.....🤣🤣🤣🤣🤣🤣Raha ya kitimoto muwe watu watano.
Ziwepo roast kilo 4 na ndizi kumi na tatu na sauce ya kutosha na zile pilipili ndefu..
Sanjari na hiyo kuwepo na kavu kilo mbili na kachumbari nyingii.
Halafu awepo chali mmoja ambaye Hana hela mchango wake Ni stori mafuriko ya beer yakianza.
Sehemu yenyewe iwe chini ya mti wenye kivuli halafu bar iwe na mabarmeid wazuri wakichaga waliochangamka.
Sawa mkuu....Dini yako unaijua vizuri mkuu?
Kwa mujibu wa imani yako mtu huyu hapaswi kabisa kushiriki chochote ni sawa na kafiri anapaswa kuuawa!
Hafai kushirikiana na watakatifu!
Wote tumelelewa sawa ila mazingira tu ya ulelewaji ndio tofauti na mazingira ndio yana shape watu.
Kweli.Sawa mkuu....
Niliposema tunalelewa tofauti nimemaanisha mazingira tofauti,tabia na hulka tofauti pia itikadi za kidini tofauti...
Kweli.UTOFAUTI UPO....
Ni kweli Dini yangu na yako ni TOFAUTI ila tunakutana humu JF na tunashare experiences Kama vijana kama watanzania....
Quran 4:51 na 57 (surat Al Maida)Kuhusu imani yangu ya kidini ambayo umedoubt Kama ninaijua...sijapatapo kuona tukielekezwa tusishiriki na watu wa imani nyingine mambo yahusuyo MIAMALAT(yasiyo ya kiibada)kama vile KAZI,UTUMISHI,BIASHARA NA UJIRANI
Sisi twaila na ni tamu kinyama ni jamii kubwa zaidi inamtumia huyu mnyama kuliko isiyo mtumia.😋ila ni kweli hatujaelekezwa kuhusiana na wengine kuhusu mambo yahusuyo IBADAT(ibada)kama kusali,kufunga na mfanowe,na ndio maana nimewapa kongole masela kula K'MOTO japo mimi siili na siitumii.
Kweli kabisa.Kuhusu kuwa dini yangu imewaita wengine makafiri...ni kweli hujakosea....
Kwa lugha tuitumiayo KIDINI,kafir ni mpingaji...
Christianity ni imani ambayo haikosoi wala kuponda imani ya Kiungu nyingine yoyote.kwa hiyo hata imani yangu ni wapingaji wa imani nyingine za kidini....nikiitwa "kafiri" na watu wa dini nyingine huwa Ni sawa na ni kweli kwani SIAMINI WANACHOKIAMINI NAO HAWAAMINI NINACHOKIAMINI.
Wapinga Kristo hawa walikuwepo na wametabiriwa kuja kutokea kwa ukubwa zaidi.Ukisoma Biblia utaona neno kafiri limejirudia mara nyingi kuwaelezea wale WAMPINGAO BWANA...
Kwa mujibu wa Uislamu ielewemitaa kufanya kazi sio ibada?Lakini pamoja na uwepo wa neno hilo(kiibada) huwa ni muhali kulitumia(kimiamalat)yasiyo ya kiibada kwani UKIMUITA MTU KAFIRI KAZINI ama SOKONI utakuwa hauko SAWA KIBUSARA NA UTAKUWA NI MTAFUTA SHARI.....
Kiongozi wangu nimependa sana namna unavyo argue in a very polite language.To cut the long story short mkuu eee UTOFAUTI WETU haujanizuia nireply comment nawe....
Have an exquisite morning,amen!
Mkuu wangu umeendelea kurudia maneno haya..."kwa uislam KUFANYA kazi si ibada? kwa uislam kufanya biashara si ibada"?...Kweli.
Kweli.
Quran 4:51 na 57 (surat Al Maida)
Enyi mlioamini! Msiwafanye mayahudi na wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika hao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Nafahamu nyinyi karibu kila mtu huwa ana tafsiri yake ya Koran.
Hii aya inaelekeza wazi kabisa na hata unachokifanya hapa ni makosa kwa mujibu wa imani yako!
Sisi twaila na ni tamu kinyama ni jamii kubwa zaidi inamtumia huyu mnyama kuliko isiyo mtumia.😋
Kweli kabisa.
Na kwa kuongezea ni asiye amini.
Christianity ni imani ambayo haikosoi wala kuponda imani ya Kiungu nyingine yoyote.
Tunaenda Makanisani kila jumapili na wengine tuko kwenye jumuiya mbalimbali za Kikristo ambazo tunatembeleana na kufanya uinjilishaji majumbani mwetu.
Hutasikia hata kwa bahati mbaya ikizungumzwa imani nyingine au mambo yao hata siku moja kwa sababu utakosa rejea yake ndani ya Biblia.
Wapinga Kristo hawa walikuwepo na wametabiriwa kuja kutokea kwa ukubwa zaidi.
Kwa mujibu wa Uislamu ielewemitaa kufanya kazi sio ibada?
Kwa mujibu wa Uislamu kufanya biashara sio ibada?
Kiongozi wangu nimependa sana namna unavyo argue in a very polite language.
Lakini mimi bado naamini kwa kuacha kula Nguruwe kwa sababu kaharamishwa basi kuna aya pia kama niliyokuwekea zinaharamisha kutumia bidhaa za watu wa imani zingine na hata wasio na hizo imani.
Nashangaa Iran wanauwa makafiri, wazinifu n.k lakini wanamiliki magari ya Kijapan na kimarekani.
SORRY nje ya mada kidogo ,umesema kiimani hamruhusiwi kuhusiana na imani nyingine mambo yanayohusu ibada,vp mnavyoombaga dua pamoja na makonda au magufuli ndani ya msikiti sio ibada?? vp mwakyembe mlivyoshirikiana nae swala ya maiti ndan ya msikiti sio ibada? vp pesa za kujenga msikiti wa chamwino zilivyochangishwa kanisani na zikapokelewa msikitini na msikiti ukajengewa sio ibada?? vp shekh mkuu alivyoomba dua kwa jina la yesu dua sio ibadaSawa mkuu....
Niliposema tunalelewa tofauti nimemaanisha mazingira tofauti,tabia na hulka tofauti pia itikadi za kidini tofauti...
UTOFAUTI UPO....
Ni kweli Dini yangu na yako ni TOFAUTI ila tunakutana humu JF na tunashare experiences Kama vijana kama watanzania....
Kuhusu imani yangu ya kidini ambayo umedoubt Kama ninaijua...sijapatapo kuona tukielekezwa tusishiriki na watu wa imani nyingine mambo yahusuyo MIAMALAT(yasiyo ya kiibada)kama vile KAZI,UTUMISHI,BIASHARA NA UJIRANI ila ni kweli hatujaelekezwa kuhusiana na wengine kuhusu mambo yahusuyo IBADAT(ibada)kama kusali,kufunga na mfanowe,na ndio maana nimewapa kongole masela kula K'MOTO japo mimi siili na siitumii.
Kuhusu kuwa dini yangu imewaita wengine makafiri...ni kweli hujakosea....
Kwa lugha tuitumiayo KIDINI,kafir ni mpingaji...kwa hiyo hata imani yangu ni wapingaji wa imani nyingine za kidini....nikiitwa "kafiri" na watu wa dini nyingine huwa Ni sawa na ni kweli kwani SIAMINI WANACHOKIAMINI NAO HAWAAMINI NINACHOKIAMINI.
Ukisoma Biblia utaona neno kafiri limejirudia mara nyingi kuwaelezea wale WAMPINGAO BWANA...
Lakini pamoja na uwepo wa neno hilo(kiibada) huwa ni muhali kulitumia(kimiamalat)yasiyo ya kiibada kwani UKIMUITA MTU KAFIRI KAZINI ama SOKONI utakuwa hauko SAWA KIBUSARA NA UTAKUWA NI MTAFUTA SHARI.....
To cut the long story short mkuu eee UTOFAUTI WETU haujanizuia nireply comment nawe....
Have an exquisite morning,amen!
Umeona eeh mi si nilikwambiaMkuu wangu shukran kaka....
Nilipokuwa MDOGO nilikaririshwa hizi AYA MBILI zinazopatikana katika VITABU VYETU VIWILI VITAKATIFU....
1."Pindipo inapowafikia hoja ichunguzeni kwanza,ili msije mkadhuru wasiokuwa na hatia"-Qur'an.
2."Watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa"-Biblia
Mkuu humu duniani kuna HISIA NA UHALISIA.....
Kudos Comrade!!