katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,561
- 2,142
Tupo wengi humu tunaopenda huu mchezo nimeona si vibaya kujuzana hasa katika maisha yetu ni mechi ipi uliowahi shuhudia na hutokaa usahau na kitu gani hasa au kipengele gani kina sababisha usisahau mechi nzima.
Binafsi mimi mechi ya barca vs psg 6-5 pale ambapo neymar anapiga foul nakuja kushtuka kashafunga.
Hii mechi sitosahau
Binafsi mimi mechi ya barca vs psg 6-5 pale ambapo neymar anapiga foul nakuja kushtuka kashafunga.
Hii mechi sitosahau