Labda kuanzia Tegeta na kuendelea ndio hakuna foleni,lakini kuanzia mwenge kuitafuta mbezi afrikana masaa matatu!! Na hii ya mbezi louis nayo foleni kuanzia magomeni mpaka mbezi kwa mwisho! Hakuna cha nafuu moja ni sumni na nyingine senti hamsini.
Yaani ni kama National na Panasonic vile.....
Mmh ni kama Sumni kikwele na 50Cent kinyamwezi
Haina tofauti hiyo ni kuruka geti na kukanyaga Mlinzi!....
Ushauri mzuri lakini hujatoa maelekezo muhimu. Mimi nimekuja dar kutembelea jamaa zangu nataka niondoke kesho kurudi Moshi 23/12/na kivitz changu. Hiyo ya kupitia Bagamoyo kutoka dar ni moja kwa moja au kuna mahali unachepukia.Hebu toa maelekezo ya njia ndugu!
Ndugu zangu mnaokwenda mikoa ya kaskazini hasa wachaga tumieni barabara ya bagamoyo ni fupi haina foleni .barabara haina mawimbi na wale wazee wa tochi hawapo achaneni nachalinze jamani
Labda kuanzia Tegeta na kuendelea ndio hakuna foleni,lakini kuanzia mwenge kuitafuta mbezi afrikana masaa matatu!! Na hii ya mbezi louis nayo foleni kuanzia magomeni mpaka mbezi kwa mwisho! Hakuna cha nafuu moja ni sumni na nyingine senti hamsini.
Barabara matuta kila baada ya mita kadhaa....inakera kweli and you dont even enjoy driving