NJIA RAHISI YA KUWA MHASIBU BILA KUZUNGUKIA ADVANCED LEVEL.
Nimeona watu wengi sana wanaulizia hii Kitu. Nikaona nidadavue kidogo ili wapate uelewa..
Endelea Kusoma hapa: KWA WATAKAOHITAJI kujua zaidi kuhusu ACCA, nitaandika tena siku nyingine...
Kwa wale ambao wamemaliza Kidato Cha nne au Cha sita na wanataka kusomea Uhasibu.. Kuna njia rahisi Kabisaa ya kuwawezesha kufika Chuo Kikuu na Kusoma Degree ya Uhasibu bila ya kuzunguka kupitia A-Level miaka miwili..
Yaani Ukimaliza tu Form Four unasoma ATEC I mitihani minne tu.. Then unafanya ATEC II mitihani minne pia.. Ukiwa vizuri kichwani ndani ya mwaka mmoja unamaliza hii mitihani.. unapata Cheti Chako cha Accounting Technician II..
Hicho Cheti kinakupa equivalent qualifications za kuingia Degree ya Uhasibu maana ndo Cheti kinaitwa Full Technician Certificate (FTC) huko TCU.. So unaingia chuoni Kabisaa bila mashaka ndani ya mwaka mmoja baada ya kumaliza kidato Cha nne...
Kwa Nini uhangaike kusoma vitu ambavyo Ni irrelevant advance Kwenye fani ya Uhasibu Wakati mpango wako Ni kuwa muhasibu!!?? Usihangaike... Fupisha njia tena gharama ni nafuu tu. Ukiwa serious hayo masomo ni ya kufaulu ndani ya Mwaka mmoja..
Utaratibu Uko Hivi….
Qualifications za Kuingia Accounting Technician (ATEC I)
Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya Accounting Technician Level 1 ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo:
1. Cheti cha mtihani wa elimu ya Sekondari (CSEE) chenye angalau ufaulu wa crediti tatu na kufaulu Hisabati na Lugha ya Kiingereza (Yaani apate C3 kwa masomo yoyote, Lakini Hesabu na Kiingereza awe amepata angalau alama D)
AU
2. Mitihani ya Taifa ya Biashara NABE Stage II na angalau ufaulu wa masomo manne (4) na cheti cha elimu ya Sekondari
AU
3. Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) yenye angalau ufaulu wa primary katika somo moja na subsidiary katika masomo yanayohusika, lakini ni lazima wafaulu (i.e wawe na D) angalau katika Kiingereza na Hisabati, O-Level Secondary Education,
AU
4. Cheti cha mwaka mmoja kutoka taasisi inayotambulika na ufaulu wa Kiingereza na hisabati “O” level kabla ya kupata cheti hicho.
5. Na vyeti vingine kama vitakavyotambuliwa na Bodi kila baada ya muda
MASOMO YA ATEC I NI HAYA HAPA
T.01 Bookkeeping and Accounts
T.02 Business Mathematics and Statistics
T.03 Intro. To Information & Comm. Tech
T.04 Business Communication Skills
Qualifications za Kuingia Accounting Technician (ATEC II)
Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya Accounting Techinician ni lazima aoneshe, uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo:-
1. Barua ya Taarifa ya kufaulu Accounting Techinician Level I
2. Advanced Level Secondary school Certificate kwa wanafunzi waliofanya masomo ya biashara. Lakini ni lazima wawe na ufaulu wa principal mbili. Yaani kama ni ECA angalau kwenye hayo masomo upate Masomo mawili alama D..
3. Cheti cha Accounting (NTA Level 4)
4. Diploma ya miaka miwili isiyo na somo kuu la Accounting – NTA Level 6
5. Wenye advance Level Secondary Education Certificate waliofanya masomo ya biashara O-Level na kupata ufaulu katika (Bookeeping na Commerce, yaani angalau D)
MASOMO YA ATEC II NI HAYA HAPA
T.05Principles of Accounting and Auditing
T.06 Principles of Cost Accounting and Procurement
T.07 Elements of commercial knowledge management practices and taxation
T.08 Accounting for public sector and Cooperatives
MUHIMU:
Mtahiniwa Mwenye Cheti Cha ATEC II Ni Sawa Na Mtahiniwa mwenye Diploma Ya Uhasibu ya Miaka Miwili. Hivyo Anaruhusiwa kuendelea na Degree YA Biashara/Uhasibu katika Chuo Kikuu chochote nchini. Kama Mtahiniwa Asipoamua kuendelea na Degree, basi anaendelea na Foundation Stage..
Qualifications za Kuingia Foundation Stage (Hii ni sawa na Degree ya Uhasibu)
Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya PROFESSIONAL ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na mojawapo ya sifa zifuatazo:
A1 Quantitative Techniques
A2 Business and Management
A3 Accounting
A4 Business Information
A5 Business Law
Ukifaulu mitihani hii ya Foundation unaendelea na Mitihani ya Intermediate then Final Stage.
NB: Mtahiniwa mwenye Degree ya Uhasibu (Accounting) anaanzia Intermediate Stage (Masomo 6), then Final Stage (Masomo 4).
MASOMO YA INTERMEDIATE HAYA HAPA
B1 Financial Management
B2 Financial Accounting
B3 Auditing Principles and Practice
B4 Public Finance and Taxation I
B5 Performance Management
B6 Management, Governance and Ethics
MASOMO YA FINAL HAYA HAPA
C1 Corporate Reporting
C2 Auditing and Assurance Services
C3 Business and Corporate Finance
C4 Public Finance and Taxation II
HAPO NDO UNAKUWA CPA (T)…
NADHANI SASA NIMEELEWEKA VIZURI
Rahisisha maisha yako ya shule / ya mwanao/ ya Nduguyo Kama mpango ni kusomea Uhasibu.. Usizunguke sana!!
KWA MAELEZO ZAIDI
Njoo Step Ahead Financial Consultant tukupe suluhisho la Uhasibu!! Tuko ndani ya Jiji la Dodoma.. Tupigie kwa simu no. 0713388317/0757749641
Nimeona watu wengi sana wanaulizia hii Kitu. Nikaona nidadavue kidogo ili wapate uelewa..
Endelea Kusoma hapa: KWA WATAKAOHITAJI kujua zaidi kuhusu ACCA, nitaandika tena siku nyingine...
Kwa wale ambao wamemaliza Kidato Cha nne au Cha sita na wanataka kusomea Uhasibu.. Kuna njia rahisi Kabisaa ya kuwawezesha kufika Chuo Kikuu na Kusoma Degree ya Uhasibu bila ya kuzunguka kupitia A-Level miaka miwili..
Yaani Ukimaliza tu Form Four unasoma ATEC I mitihani minne tu.. Then unafanya ATEC II mitihani minne pia.. Ukiwa vizuri kichwani ndani ya mwaka mmoja unamaliza hii mitihani.. unapata Cheti Chako cha Accounting Technician II..
Hicho Cheti kinakupa equivalent qualifications za kuingia Degree ya Uhasibu maana ndo Cheti kinaitwa Full Technician Certificate (FTC) huko TCU.. So unaingia chuoni Kabisaa bila mashaka ndani ya mwaka mmoja baada ya kumaliza kidato Cha nne...
Kwa Nini uhangaike kusoma vitu ambavyo Ni irrelevant advance Kwenye fani ya Uhasibu Wakati mpango wako Ni kuwa muhasibu!!?? Usihangaike... Fupisha njia tena gharama ni nafuu tu. Ukiwa serious hayo masomo ni ya kufaulu ndani ya Mwaka mmoja..
Utaratibu Uko Hivi….
Qualifications za Kuingia Accounting Technician (ATEC I)
Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya Accounting Technician Level 1 ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo:
1. Cheti cha mtihani wa elimu ya Sekondari (CSEE) chenye angalau ufaulu wa crediti tatu na kufaulu Hisabati na Lugha ya Kiingereza (Yaani apate C3 kwa masomo yoyote, Lakini Hesabu na Kiingereza awe amepata angalau alama D)
AU
2. Mitihani ya Taifa ya Biashara NABE Stage II na angalau ufaulu wa masomo manne (4) na cheti cha elimu ya Sekondari
AU
3. Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) yenye angalau ufaulu wa primary katika somo moja na subsidiary katika masomo yanayohusika, lakini ni lazima wafaulu (i.e wawe na D) angalau katika Kiingereza na Hisabati, O-Level Secondary Education,
AU
4. Cheti cha mwaka mmoja kutoka taasisi inayotambulika na ufaulu wa Kiingereza na hisabati “O” level kabla ya kupata cheti hicho.
5. Na vyeti vingine kama vitakavyotambuliwa na Bodi kila baada ya muda
MASOMO YA ATEC I NI HAYA HAPA
T.01 Bookkeeping and Accounts
T.02 Business Mathematics and Statistics
T.03 Intro. To Information & Comm. Tech
T.04 Business Communication Skills
Qualifications za Kuingia Accounting Technician (ATEC II)
Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya Accounting Techinician ni lazima aoneshe, uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo:-
1. Barua ya Taarifa ya kufaulu Accounting Techinician Level I
2. Advanced Level Secondary school Certificate kwa wanafunzi waliofanya masomo ya biashara. Lakini ni lazima wawe na ufaulu wa principal mbili. Yaani kama ni ECA angalau kwenye hayo masomo upate Masomo mawili alama D..
3. Cheti cha Accounting (NTA Level 4)
4. Diploma ya miaka miwili isiyo na somo kuu la Accounting – NTA Level 6
5. Wenye advance Level Secondary Education Certificate waliofanya masomo ya biashara O-Level na kupata ufaulu katika (Bookeeping na Commerce, yaani angalau D)
MASOMO YA ATEC II NI HAYA HAPA
T.05Principles of Accounting and Auditing
T.06 Principles of Cost Accounting and Procurement
T.07 Elements of commercial knowledge management practices and taxation
T.08 Accounting for public sector and Cooperatives
MUHIMU:
Mtahiniwa Mwenye Cheti Cha ATEC II Ni Sawa Na Mtahiniwa mwenye Diploma Ya Uhasibu ya Miaka Miwili. Hivyo Anaruhusiwa kuendelea na Degree YA Biashara/Uhasibu katika Chuo Kikuu chochote nchini. Kama Mtahiniwa Asipoamua kuendelea na Degree, basi anaendelea na Foundation Stage..
Qualifications za Kuingia Foundation Stage (Hii ni sawa na Degree ya Uhasibu)
Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya PROFESSIONAL ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na mojawapo ya sifa zifuatazo:
- NBAA Accounting Technician Certificate (ATEC II)
- Diploma ya miaka miwili katika Accounting au Accounting and Finance NTA Level 6
- Shahada kutoka chuo kikuu kinachotambulika au Taasisi ya Elimu ya juu (isiyokuwa ya Accounting).
- Misamaha inaweza kufikiriwa somo kwa somo kutegemea masomo ya mtahiniwa.
A1 Quantitative Techniques
A2 Business and Management
A3 Accounting
A4 Business Information
A5 Business Law
Ukifaulu mitihani hii ya Foundation unaendelea na Mitihani ya Intermediate then Final Stage.
NB: Mtahiniwa mwenye Degree ya Uhasibu (Accounting) anaanzia Intermediate Stage (Masomo 6), then Final Stage (Masomo 4).
MASOMO YA INTERMEDIATE HAYA HAPA
B1 Financial Management
B2 Financial Accounting
B3 Auditing Principles and Practice
B4 Public Finance and Taxation I
B5 Performance Management
B6 Management, Governance and Ethics
MASOMO YA FINAL HAYA HAPA
C1 Corporate Reporting
C2 Auditing and Assurance Services
C3 Business and Corporate Finance
C4 Public Finance and Taxation II
HAPO NDO UNAKUWA CPA (T)…
NADHANI SASA NIMEELEWEKA VIZURI
Rahisisha maisha yako ya shule / ya mwanao/ ya Nduguyo Kama mpango ni kusomea Uhasibu.. Usizunguke sana!!
KWA MAELEZO ZAIDI
Njoo Step Ahead Financial Consultant tukupe suluhisho la Uhasibu!! Tuko ndani ya Jiji la Dodoma.. Tupigie kwa simu no. 0713388317/0757749641