Habari wa ndugu,
Kuna watu wengi , wake kwa wauume wana tabia ya kupeleka matatizo yao ya kimahusiano(mapenzi au ndoa) kwenye mitandao ya kijamii ili kuomba ushauri. Wanapoongea wanajaribu kutumia majina feki but story zinakuwa za kweli. Mfano utaona mtu anasema , mimi ni msichana wenye umri huu nina mpenzi wangu.....(anaendelea kuongea tatizo lake), au mimi ni mvulana nina umri huu, ninampenzi wangu .....(anaendelea kuelezea tatizo). Au utasikia jamani mimi ni mke wa mtu, lakini nimejikuta nimetoa nje ya ndoa naombeni ushauri, au utamkuta kaka anasema jamani mimi nimeoa, lakini kuna dada mmoja kazini huwa nafanya naye mapenzi, nahisi mke wangu anaanza kunifuatilia.
Watu hao wanapeleka siri zao kwenye mitandao ya kijamii ili wapewe ushauri. Sasa mimi swali langu ni kwamba wanajuaje kama hao wapenzi wao hawatasoma hizo stori zao kwenye mitandao hiyohiyo? Mtu akisoma story na kulinganisha matukio yaliyotokea katika uhusiano au maudhui ya ujumbe atagundua kuwa hiyo story inamhusu na atajua kuwa aliyeipeleka ni mwenza wake.
Sasa jamani kwa nini watu huwa wanafanya ujinga huu wa kuanika siri zao? Je ushauri wanaopewa unalingana na risk wanayoichukua just in case mhusika akasoma hiyo story kwenye mtandao?
TAFAKARI, CHUKUA HATUA
Kuna watu wengi , wake kwa wauume wana tabia ya kupeleka matatizo yao ya kimahusiano(mapenzi au ndoa) kwenye mitandao ya kijamii ili kuomba ushauri. Wanapoongea wanajaribu kutumia majina feki but story zinakuwa za kweli. Mfano utaona mtu anasema , mimi ni msichana wenye umri huu nina mpenzi wangu.....(anaendelea kuongea tatizo lake), au mimi ni mvulana nina umri huu, ninampenzi wangu .....(anaendelea kuelezea tatizo). Au utasikia jamani mimi ni mke wa mtu, lakini nimejikuta nimetoa nje ya ndoa naombeni ushauri, au utamkuta kaka anasema jamani mimi nimeoa, lakini kuna dada mmoja kazini huwa nafanya naye mapenzi, nahisi mke wangu anaanza kunifuatilia.
Watu hao wanapeleka siri zao kwenye mitandao ya kijamii ili wapewe ushauri. Sasa mimi swali langu ni kwamba wanajuaje kama hao wapenzi wao hawatasoma hizo stori zao kwenye mitandao hiyohiyo? Mtu akisoma story na kulinganisha matukio yaliyotokea katika uhusiano au maudhui ya ujumbe atagundua kuwa hiyo story inamhusu na atajua kuwa aliyeipeleka ni mwenza wake.
Sasa jamani kwa nini watu huwa wanafanya ujinga huu wa kuanika siri zao? Je ushauri wanaopewa unalingana na risk wanayoichukua just in case mhusika akasoma hiyo story kwenye mtandao?
TAFAKARI, CHUKUA HATUA