ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,056
- 2,850
Mkuu wengine humu wanamihemko, wanapenda kuongelea wasilolijua na pia wanakua wabishi balaa.Kuwaelekeza na kuwavumilia tuAcha uongo, bima ya afya NHIF haisitishwi kama ulikuwa mtumishi.
Mkuu wengine humu wanamihemko, wanapenda kuongelea wasilolijua na pia wanakua wabishi balaa.Kuwaelekeza na kuwavumilia tuAcha uongo, bima ya afya NHIF haisitishwi kama ulikuwa mtumishi.
Kuugua uzeeni mbali na genetics issue ni life style uliyoishi huchangia. Kama ulikua mlevi sugu na komba kuna hatari ya ini kukorofisha na hata saratani. Uvutaji wa sigara ni chachu ya magonjwa ya mapafu.Nimeona wazee wengi wa nchi tofauti na Tz
Kama wana maradhi sugu hawaendi popote wanakaa hapa hapa na kustaafu mpaka kufa
Ila sio wote wanaozeeka wanaugua hapana wengine wanadunda tu mpaka 80
Wengi wana afya zao nzuri na wanakula maisha yao kwao kwani inategemea mtu na mtu
Wenye familia wanasaidiwa na watoto wao mpaka matumizi ya ziada wanatumiwa
Ila mimi huku sihami huko ni likizo tu
Pressure za nini nakaa kama Wajamaica tu
Umeridhia kabisa kuletewa Sunday roast na shepherd’s pie kwenye nursing home!Nimeona wazee wengi wa nchi tofauti na Tz
Kama wana maradhi sugu hawaendi popote wanakaa hapa hapa na kustaafu mpaka kufa
Ila sio wote wanaozeeka wanaugua hapana wengine wanadunda tu mpaka 80
Wengi wana afya zao nzuri na wanakula maisha yao kwao kwani inategemea mtu na mtu
Wenye familia wanasaidiwa na watoto wao mpaka matumizi ya ziada wanatumiwa
Ila mimi huku sihami huko ni likizo tu
Pressure za nini nakaa kama Wajamaica tu
Kuugua uzeeni mbali na genetics issue ni life style uliyoishi huchangia. Kama ulikua mlevi sugu na komba kuna hatari ya ini kukorofisha na hata saratani. Uvutaji wa sigara ni chachu ya magonjwa ya mapafu.
Mazoezi na kula vizuri huchangia afya bora. Wanasema umri ulionao una uwezo wa kujenga afya yako kwa miaka kumi mbele.
Umeridhia kabisa kuletewa Sunday roast na shepherd’s pie kwenye nursing home!
Spain hakuna universal medical care. Wazungu wengi wenye magonjwa yenye kuhitaji tiba ya gharama kama cancer ambao walistaafia Spain wanarudi kwenye nchi zao zenye huduma hii.Hapana sijaridhia na hakuna kitu ninachokikataa kama hicho
Siwezi kwenda kulelewa kwenye nyumba za wazee bali nitaishi kwenye nyumba yangu mwenyewe huku nikila hela zangu na kusaidiwa na watoto wangu waliopo huku kama wakipata mda
Siwategemei hivyo ila wao wameahidi kuniangalia na hili tumeliongelea sana la kutupwa Nursing homes
Bora nikanunue nyumba Spain kwa akiba yangu na wao waje kutembea holiday huku nikila Apples
Maisha ni kujipanga tu ingawa sio ujanja bali ni bahati tu
Spain hakuna universal medical care. Wazungu wengi wenye magonjwa yenye kuhitaji tiba ya gharama kama cancer ambao walistaafia Spain wanarudi kwenye nchi zao zenye huduma hii.
Naifatilia ntakupa mrejesho kwenye uzi huu huuKama unaifahamu vizuri tufafanulie vizuri, inaweza kuwa msaada kwa wengi.