Kwa wale wanaoishi Scandinavia na Ulaya Magharibi

Kweli kabisa kwenye suala la huduma ya afya.

Ila mzee wangu aliishi UK kama miaka 23. Nashangaa hakutaka kutumia fursa hiyo wala nini. Hata ile kwenda kutembea hakutaka kabisa. Madai yake upweke wawauwa wazee huko kuliko magonjwa. Akadai home is where your heart is. Na kuzidi kudai bongo raha pamoja na shida zake.
Twakubaliana nawe kuishi ni kupanga na kupanga ni kuchaguwa.
Ukiwa na miaka 80, 90… Tanzania ni rahisi kupata huduma ambazo ni personalised care. Unapata watu wa kukuhudumia masaa 24 na unaweza kuwalipa laki 5-6 kwa mwezi wote wawili.

Ulaya kwenye nursing home mko 10 mnahitaji kusafishwa mnasubiri. Wazee wengi wanaokwenda nursing home afya zao zinazorota haraka sana kulinganisha na wanao lelewa nyumbani.
 
Mnapokwenda kutafuta maisha na kuwekeza nyumbani, mlishafikiria maisha ya uzeeni na gharama za matibabu? Nchi za Scandinavia na baadhi ya nchi za Ulaya matibabu ni bure hasa ukiwa umelipa tax katika maisha yako ya kazi.

Unapoamuamua kustaafu nyumbani, umejenga ghorofa zuri tu, lakini maradhi ya uzee nayo yanakusogelea. Hospitali zetu zinahitaji Bima ya Afya wakati nchi uliyofanyia kazi ujanani unaweza kupata tiba bure.

Wa Jamaica hawana matatizo, wakiingia Ulaya wanaona ni mother country, wananunua nyumba na wala hawawazi tena backa yard (nyumbani). Matatizo yako kwa Waafrika, wanapenda kuendeleza nyumbani.

Waghana na Wanigeria wengi walioingia Ulaya miaka ya 60, walijenga kwao. Sasa wakiwa na miaka 80, 70 gharama za matibabu hawazimudu tena, wenye watoto wanarudi Ulaya kupata matibabu ya bure. Wasio na watoto na hawakuacha nyumba Ulaya kurudi inakua ni vigumu.

Afrika tunahitaji kuboresha mfumo wa afya. Wazee wenye pesa wanajipangia check up South Africa mara mbili kwa mwaka kama $5,000.

Utaratibu ni kwamba ukishafikia umri wa kustaafu unayo haki ya kuishi popote na unalipwa mafao yako ambayo yanategemea ulifanya kazi kwa mshahara kiasi gani.

Ni hela inayokuja kila mwezi, kama ni mtu aliyejipanga vizuri mapema. Inatosha kulipia bima nzuri tu Afrika na kuishi vizuri. Pia anakuwa na uwezo wa kusafiri muda wowote kurudi ulaya kwenda kupata matibabu.

Pia akipenda, njia nzuri ni kukata bima toka Ulaya. Ni bora kuliko za kiafrika.
 
Utaratibu ni kwamba ukishafikia umri wa kustaafu unayo haki ya kuishi popote na unalipwa mafao yako ambayo yanategemea ulifanya kazi kwa mshahara kiasi gani.

Ni hela inayokuja kila mwezi, kama ni mtu aliyejipanga vizuri mapema. Inatosha kulipia bima nzuri tu Afrika na kuishi vizuri. Pia anakuwa na uwezo wa kusafiri muda wowote kurudi ulaya kwenda kupata matibabu.

Pia akipenda, njia nzuri ni kukata bima toka Ulaya. Ni bora kuliko za kiafrika.
Hii pension ukiipokelea bongo, Mwigulu wa wakati huo anachomoa tozo la miamala.

Asante sana hii ya pension ni nzuri kama huna wategemezi wengi na kama ulivyosema kujipanga.
 
Wanao tusi Ulaya kwa matibabu si Waafrika tu, hata Wazungu walio amua kustaafu Spain. Magonjwa kama cancer ni gharama kubwa kutibiwa hivyo wanaamua kurudi waliko lipa kodi ujanani.
 
Siku hizi BIMA packages zipo nyingi hata huko NHIF. Kama kweli mtu aliishi ulaya au marekani hadi uzeeni hawezi kushindwa 2,000,000 premium membership ya nhif kwa mwaka.

Huwa nasema serikali iangalie swala la universal health care, kama tuna tozo kibao ambazo a normal mwananchi doesn't really benefit, why can't we have tozo for health care. Then baada ya hapo kila mtu awe na kadi yake kwa ajili ya matibabu bure! Kama tunakatwa TSH 100kwa kila lita ya mafuta, I'm pretty sure mwigulu can come up with a tangible system that'll be helpful to a normal mwananchi.
 
Hii pension ukiipokelea bongo, Mwigulu wa wakati huo anachomoa tozo la miamala.

Asante sana hii ya pension ni nzuri kama huna wategemezi wengi na kama ulivyosema kujipanga.

Kila kitu kinategemea mtu anavyojipanga. Ulaya apartment ya vyumba viwili, sebuleni, jiko na bafu mtu unanunua kwa almost 300,000€ ambayo unalipa kwa mkopo. Hiyo hela kama unaweza kuiwekeza bongo vizuri, uwezekano wa kuishi vizuri ni mkubwa kuliko ukiwa Ulaya.

Kuna gharama kubwa sana za kumiliki nyumba ikiwepo mtaji kwanza, na uendeshaji wa nyumba ni ghali mno. Bora mtu ajipange awekeze huko kuliko kuwekeza ile hela ulaya.

Gharama za miamala siyo mbaya ukizingatia unaweza kutumia kadi yako ya benki ya Ulaya popote na ukakwepa japokuwa inaweza kuwa ghali kutumia kadi nje ya Ulaya but still it is an option.

Ukinunua nyumba Ulaya, jasho lako lote inabaki Ulaya kwa mfumo wa mkopo.
 
Siku hizi BIMA packages zipo nyingi hata huko NHIF. Kama kweli mtu aliishi ulaya au marekani hadi uzeeni hawezi kushindwa 2,000,000 premium membership ya nhif kwa mwaka.

Huwa nasema serikali iangalie swala la universal health care, kama tuna tozo kibao ambazo a normal mwananchi doesn't really benefit, why can't we have tozo for health care. Then baada ya hapo kila mtu awe na kadi yake kwa ajili ya matibabu bure! Kama tunakatwa TSH 100kwa kila lita ya mafuta, I'm pretty sure mwigulu can come up with a tangible system that'll be helpful to a normal mwananchi.
Kabisaaa kitu cha kumfaidisha mwananchi
 
Kila kitu kinategemea mtu anavyojipanga. Ulaya apartment ya vyumba viwili, sebuleni, jiko na bafu mtu unanunua kwa almost 300,000€ ambayo unalipa kwa mkopo. Hiyo hela kama unaweza kuiwekeza bongo vizuri, uwezekano wa kuishi vizuri ni mkubwa kuliko ukiwa Ulaya.

Kuna gharama kubwa sana za kumiliki nyumba ikiwepo mtaji kwanza, na uendeshaji wa nyumba ni ghali mno. Bora mtu ajipange awekeze huko kuliko kuwekeza ile hela ulaya.

Gharama za miamala siyo mbaya ukizingatia unaweza kutumia kadi yako ya benki ya Ulaya popote na ukakwepa japokuwa inaweza kuwa ghali kutumia kadi nje ya Ulaya but still it is an option.

Ukinunua nyumba Ulaya, jasho lako lote inabaki Ulaya kwa mfumo wa mkopo.
Wewe umeshasikia sifa za Mloganzila, ukimpeleka mgonjwa mpe buriani kabisa.

Kama pension yako itatosha kwenda Nairobi hospital na unaishi Tanzania hapo utakua umeyapanga maisha.
 
Wewe umeshasikia sifa za Mloganzila, ukimpeleka mgonjwa mpe buriani kabisa.

Kama pension yako itatosha kwenda Nairobi hospital na unaishi Tanzania hapo utakua umeyapanga maisha.

Mimi kwa kweli nawashauri marafiki waishio Ulaya wajipange mapema.

Kila kitu kinawezekana ila inategemea umeanza mapema kiasi gani.
 
Mimi kwa kweli nawashauri marafiki waishio Ulaya wajipange mapema.

Kila kitu kinawezekana ila inategemea umeanza mapema kiasi gani.
Kwakweli kama hujanunua nyumba na kumaliza mortgage, au kujenga Africa. Kuitegemea pension kwa malazi, chakula na matibabu utaishi kimasikini sana.
 
Kwakweli kama hujanunua nyumba na kumaliza mortgage, au kujenga Africa. Kuitegemea pension kwa malazi, chakula na matibabu utaishi kimasikini sana.

Ninachowashauri ni kuwekeza mdogo mdogo bongo mapema ili ikifika wakati wakurudi nyumbani wasiwe kama wanaanza maisha upya. Cash flow ni muhimu ili ku sustain maisha cause kuna mazoea ya maisha fulani which comes with a lot of costs. Usipojipanga mapema, mtu unakufa masikini japo umetoka Ulaya.
 
Kila kitu kinategemea mtu anavyojipanga. Ulaya apartment ya vyumba viwili, sebuleni, jiko na bafu mtu unanunua kwa almost 300,000€ ambayo unalipa kwa mkopo. Hiyo hela kama unaweza kuiwekeza bongo vizuri, uwezekano wa kuishi vizuri ni mkubwa kuliko ukiwa Ulaya.

Kuna gharama kubwa sana za kumiliki nyumba ikiwepo mtaji kwanza, na uendeshaji wa nyumba ni ghali mno. Bora mtu ajipange awekeze huko kuliko kuwekeza ile hela ulaya.

Gharama za miamala siyo mbaya ukizingatia unaweza kutumia kadi yako ya benki ya Ulaya popote na ukakwepa japokuwa inaweza kuwa ghali kutumia kadi nje ya Ulaya but still it is an option.

Ukinunua nyumba Ulaya, jasho lako lote inabaki Ulaya kwa mfumo wa mkopo.
Kadi hapa gharama itakuwa labda ATM tu lakini ukilipia hotels na sehemu zinazokubali Mastercard au Visa, hamna muamala wowote. Unachanja kama kawaida.
 
Inategemea ntu na ntu.

Mwisho wa siku sote ni wapitaji katika dunia hii, hata utibiwe vipi mwisho wa siku utaondoka tu, hivyo nivyema ukafanya kile kinachokupa amani.

Watanzania kwa ujumla kilichotuharibu ni kuzaliwa kwenye ujamaa, yani mtu hata uwe wapi bado utakumbuka nyumbani, utamkumbuka mjomba, shangazi, etc, wenzetu kwao familia ni baba mama mtoto, kaka na dada wanapambana kivyao. Obama akiwa senetor tu, angeweza amisha ndugu zake wa karibu USA, ila amekulia kwenye ubepari.
Usitupangie maisha, kama ukihitaji kuishi kibepari we ishi tu kivyako...
 
Nimeona wazee wengi wa nchi tofauti na Tz
Kama wana maradhi sugu hawaendi popote wanakaa hapa hapa na kustaafu mpaka kufa

Ila sio wote wanaozeeka wanaugua hapana wengine wanadunda tu mpaka 80
Wengi wana afya zao nzuri na wanakula maisha yao kwao kwani inategemea mtu na mtu

Wenye familia wanasaidiwa na watoto wao mpaka matumizi ya ziada wanatumiwa
Ila mimi huku sihami huko ni likizo tu

Pressure za nini nakaa kama Wajamaica tu
 
Back
Top Bottom