FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Habarini za kazi ,business na wale walioko shule
Leo napenda kuangalia hili swala zima la kina dada wanaofanya Diet ili angalau kuufanya mwili uwe mzuri na kuepusha magonjwa kama BP Nk Nk pia kwenda na fashion za urembo
Ni aina gani hasa yaa vyakula na matunda ,pia diet ipi itumike angalau iweze kumsaidia mtumiaji awe katika hali nzuri
,nimeshuhudia wengine wakifanya diet yes wanakonda/pungua lakini ukimwangalia vizuri usoni anaonekana kama amezeeka na ngozi haina afya au mvuto kama mwanzo ,wakati alipokuwa hajafanya Diet ngozi ilikuwa ya kupendeza nyororo na ya kuvutia usoni
,wengine hata kuulizwa mbona ngozi ya uso imejikunja?
Je ni vyakula gani , matunda na vinywaji gani vitumike ??
Nakaribisha michango yenu wadauzi mnaoenda na wakati
MziziMkavu
Leo napenda kuangalia hili swala zima la kina dada wanaofanya Diet ili angalau kuufanya mwili uwe mzuri na kuepusha magonjwa kama BP Nk Nk pia kwenda na fashion za urembo
Ni aina gani hasa yaa vyakula na matunda ,pia diet ipi itumike angalau iweze kumsaidia mtumiaji awe katika hali nzuri
,nimeshuhudia wengine wakifanya diet yes wanakonda/pungua lakini ukimwangalia vizuri usoni anaonekana kama amezeeka na ngozi haina afya au mvuto kama mwanzo ,wakati alipokuwa hajafanya Diet ngozi ilikuwa ya kupendeza nyororo na ya kuvutia usoni
,wengine hata kuulizwa mbona ngozi ya uso imejikunja?
Je ni vyakula gani , matunda na vinywaji gani vitumike ??
Nakaribisha michango yenu wadauzi mnaoenda na wakati
MziziMkavu