Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,301
Mkuu kama hukumla ulizingua sana, pengine kwenye ule uzi wa kula tunda kimasikhara story yako ingekuepoHatari , baba mwenye nyumba yangu alifunaniwa ikabidi mchepuko auingize geto kwangu alafu akazuga ni demu wangu, wala sikumwambia mama huyo nilikaa kimya ,alafu demu lilikuwa powa sana yan hatari mno, nilitamani niligeukie ilikuwa saa mbili usiku mama mwenye nyumba yuko safari sasa aakarudi ghafla palichimbika balaa