Habari zenu wana Jf, sijawahi wala kufikirika kwenda kwa mganga lakini kwa haya ninayoyapitia na yanayoendelea kuikuta familia yetu naombeni mwenye kumjua mganga haswa na sio kanjanja maeneo ya bagamoyo au maeneo mengine AniPM au anipe direction hapa
Hapa nimeomba kwa anaemfahamu mganga tu sitaki ushauri wa mtu kuhusu msimamo wangu huu, please kwa anaemjua tuwasiliane Niko serious,.. jamani narudia sitotaka ushauri wa mtu kuhusu huu uamuzi wangu
Hapa nimeomba kwa anaemfahamu mganga tu sitaki ushauri wa mtu kuhusu msimamo wangu huu, please kwa anaemjua tuwasiliane Niko serious,.. jamani narudia sitotaka ushauri wa mtu kuhusu huu uamuzi wangu