Mimi ni mmojawapo wa wahanga. Nmepata 2 ya 12 CBG nkaapply courses za kawaida kama education, environmental science katika vyuo mbalimbali kama SUA, Ardhi, Udom, (St John na Rucu hivi nmeapply awamu ya tatu baada ya kuona mambo magumu)
Tupeane ushauri...
Tupeane ushauri...