Kwa wale walioko kwenye ndoa/mahusiano ya muda mrefu(wanaoishi pamoja)

sijui kwa nini ila naona urafiki/uchumba hautoshi kujua kila kitu…tester ni nzuri,mnajuana udhaifu wenu na kujua kama mta accommodate each other kwenye mapungufu hayo...endapo mtaoana…..akupikie kila siku,kufulia nguo,etc na yeye ajue ukitoka kazini unarusha ma socks huko,una amri na hubembelezi…. :D:D:D:D...baada ya miezi mitatu,utajua tu mbivu na mbichi,tabia haijifichi……………………..ila katika jamii yetu sioni hili likitokea labda vizazi vijavyo lol

Binafsi nnaona haitofanya kazi.Mtu anaweza kufanya maigizo kwa hiyo miezi mitatu.

Ndoa ndoano nyingi huwa si ndoano kwenye hiyo miezi 3 ya mwanzo.
 
Mfano mimi Binafsi nilishaingia kwenye mahusiano na mtu wa Taifa/Raia tofauti na mimi, baada ya kuzama kwenye mapenzi ndio tukaanza kujadili tutaishi wapi? Kila mmoja wetu akavutia upande wake, pamoja na kupendana kwetu tuliachana sababu hiyo, iwapo ningeuliza hili swali mapema pengine tusingeanzisha mahusiano yetu nikatafuta wa Taifa langu.
Dah...aiseh polee. Samahan naweza kuuliza mwenza wako alikua ni wa taifa lipi?
 
Dah...aiseh polee. Samahan naweza kuuliza mwenza wako alikua ni wa taifa lipi?
Asante nishapoa...
Siwezi kuweka wazi nchi, ila ni moja ya nchi zilizoko Amerika ya Kusini.
 
Hapa ulichemka mkuu wala hukutumia akili! Utavutiaje kwako badala ya kuvutika kwa mumeo. Yani unataka nikuoe alafu wewe ndio unipangie tutaishi wapi?
Hii ni.point ingawa haija elezwa kimapana, kwa hali ya ukawaida inapendeza na ingefaa mwanamke akaishi kwa au aambatane na mumewe.

Mimi nishawai kutana na binti wa Taifa lingine alikua mpenz wangu kabla sijamwambia alikua tayar kuja kusihi bongo na alinijulisha mwenyewe
 
Back
Top Bottom