Kwa wale walio apply TCU angali hawana sifa, wanapataje taarifa?

long neck

Member
Aug 29, 2016
70
25
Eeh wadau naomba niulize kwa wale ambao waliapply vyuo TCU na hawakuwa na sifa,, je kwenye profile yake inampa taarifa kuwa hana sifa?
 
Dogo wangu naye aliomba akiwa na DES na amechaguliwa MWECAU education in science so amesubiria bumu, sijui watamchomoa akiwa chuoni?
 
hawatachomolewa kamwe kwani waliomaliza 2014 na 2015 mbona weng wameenda chuo kwa D -2 na vitabu vyao vikionesha principal pass ni C.....
 
Mamaaaaaae t........c.......u watu tunasifa ila tumetemwa na wale wasio na sifa wamechaguliwa. Its for pipoooooooz kuchukua ikulu 2020. Nonsense
 
hawatachomolewa kamwe kwani waliomaliza 2014 na 2015 mbona weng wameenda chuo kwa D -2 na vitabu vyao vikionesha principal pass ni C.....
Issue hapa ni udanganyifu-siku wakija kukugundua inakula kwako haijalishi kama TCU/Chuo hawakugundua wakati wa udahili. Hivyo wajue wanachukua risk na wawe tayari kwa lolote leo au kesho.
 
naomba kuuliza kama kuna mtu kapata selection ya chuo ambacho aliomba ndio ila si alichoona siku ile jumapili yalipovuja (kama alibahatika kuona)
 
Issue hapa ni udanganyifu-siku wakija kukugundua inakula kwako haijalishi kama TCU/Chuo hawakugundua wakati wa udahili. Hivyo wajue wanachukua risk na wawe tayari kwa lolote leo au kesho.
hamna kitu kama hicho katika sayari ya sasa wapo wengi tu na wana maliza wengine mwakani na wapo ambao wamechaguliwa teyal kaka kwamfumo huu DEE,CEE,CES,CEF,BDE,DDD,DDE hao ni 2014 na 2015
 
hamna kitu kama hicho katika sayari ya sasa wapo wengi tu na wana maliza wengine mwakani na wapo ambao wamechaguliwa teyal kaka kwamfumo huu DEE,CEE,CES,CEF,BDE,DDD,DDE hao ni 2014 na 2015
Nimesema wakigundulika imekula kwao na hapa ninaongelea wasio na vigezo kama taarifa ya mtoa mada ilivyojieleza. Kama mtu anavigezo sioni issue iko wapi. Rejea kichwa cha uzi-wasio na sifa.
 
Back
Top Bottom