Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Ukitaka kujua msichana wa chuo hakutaki haya ndo majibu yake;
1. Baby 2taongea badae naingia lecture
2. Jamani hny ckuweza kupokea cmu nilikua kwenye kelele
3.Swety cna credit thats why cjajibu sms yk
4.2ko discxn ntaku beep badae dia
5.Cmu haikua na chaji jamani (hapo alikuzimia)
6.Nipo na kaka yng ucpige cmu
7.Nina presentation kesho ha2wezi kuonana
8.Room mate wangu anamgeni ucje leo
9.Nipo library nitakutafuta badae (kwa sauti ya chini) Upo hapo...
10.Baby nakusanya assignment usinitafute wk nzima baada ya wiki tenantakuwa napresentation hvyo ongezea wk nyngne ya kutonitafuta
1. Baby 2taongea badae naingia lecture
2. Jamani hny ckuweza kupokea cmu nilikua kwenye kelele
3.Swety cna credit thats why cjajibu sms yk
4.2ko discxn ntaku beep badae dia
5.Cmu haikua na chaji jamani (hapo alikuzimia)
6.Nipo na kaka yng ucpige cmu
7.Nina presentation kesho ha2wezi kuonana
8.Room mate wangu anamgeni ucje leo
9.Nipo library nitakutafuta badae (kwa sauti ya chini) Upo hapo...
10.Baby nakusanya assignment usinitafute wk nzima baada ya wiki tenantakuwa napresentation hvyo ongezea wk nyngne ya kutonitafuta