Nina mtaji wa eneo la ekari 6 na store hapohapo... shamba limezungukwa na mto wenye maji kipindi chote cha mwaka.... uwekezaji waweza kuwa wa nyanya, hoho, karoti, mahindi ya muda mfupi na mazao mengine ya muda mfupi kwa njia ya umwagiliaji.... sehemu mradi ulipo ni kahe, kilimanjaro..
Sina mtaji wa fedha nilihitaji partiner mwenye fedha tushirikiane....