Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,113
- 4,741
Nitatumia mbinu gani ili niweze punguza au ondoa kabisa uwezo wa mtu kudownload Large files (say >40MB) kutoka katika internet na kuruhusu file ndogondogo (kama vile attachments za email, Docs etc). Kama haiwezekani, je ni vipi naweza punguza downloading speed ya user, Mind you souce ya net?access point ni wireless router, na watumiaji wanatumia net wirelessly.
Mimi nina mawazo mawili
1. kucheza na ports, Tatizo sijui exactly port gani niziblock na how.
2. kublock incomming & Outgoing B.W. (tatizo router nilonayo hapa ni inaingia Sim card pekee, Huawe B593).
Any general and working concept ambayo inaapply kwa mannaged routers. Karibuni wadau.
Mimi nina mawazo mawili
1. kucheza na ports, Tatizo sijui exactly port gani niziblock na how.
2. kublock incomming & Outgoing B.W. (tatizo router nilonayo hapa ni inaingia Sim card pekee, Huawe B593).
Any general and working concept ambayo inaapply kwa mannaged routers. Karibuni wadau.