chimela
Member
- Jul 14, 2016
- 63
- 142
Wakati najaribu kupitia pitia mitandaoni namna ya kufanya photo screen painting kuna kifaa nilikimiss au kukikosa kabisa pengine ni kwa sababu ya ugeni katika hii Sanaaa. Kitu chenyewe kinaitwa DIAZO POWDER kwa anaefahamu upatikanaji wake hapa Tanzania naomba anielekeze pamoja na bei zake sokoni ....Natanguliza shukrani