Kwa wale wa SUA

Vanpopeye

JF-Expert Member
Jul 11, 2011
620
59
Salaam wakuu,hivi kwa wale waliochaguliwa SUA wanatakiwa wafike chuo lini?
 
Salaam wakuu,hivi kwa wale waliochaguliwa SUA wanatakiwa wafike chuo lini?
<br />
<br />
mkuu ushofu taarifa zatatolewa kwenye website yao,nakukumbuka ulikua unalia sana na tcu,vip umepata mkopo.
 
Nimepata kaka!...mamboz?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mkuu ushofu taarifa zatatolewa kwenye website yao,nakukumbuka ulikua unalia sana na tcu,vip umepata mkopo.
<br />
<br />
 
Sio SUA tu vyuo vingi except St Agustine na (IFM??) ndo wana maelekezo kwa wanafunzi wao wapya kwenye web zao. Waliosalia kimya na hazifunguki - huenda wanazifanyia ukarafati ili zikitoka ziwe na vitu vipya!!!
 
popeye,usiwe na kihoro,watakutumia joining instruction. ila andaa jembe na fyekeo (nakutania mwaya). hongera kwa kupata chuo. kila la kheri
Salaam wakuu,hivi kwa wale waliochaguliwa SUA wanatakiwa wafike chuo lini?
<br />
<br />
 
Salaam wakuu,hivi kwa wale waliochaguliwa SUA wanatakiwa wafike chuo lini?
<br />
<br />
jaribu kuingia web ya Sua uangalie kuna kitu inaitwa Alimanac, ipo clear sana. Unaenda kupiga kozi gani. Nilipitia sua.
 
:)...asante bhana!....mekupata pamoja sana!...ila third round application umeisikia?TCU mwaka huu bhana!duh...
popeye,usiwe na kihoro,watakutumia joining instruction. ila andaa jembe na fyekeo (nakutania mwaya). hongera kwa kupata chuo.
 
popeye,usiwe na kihoro,watakutumia joining instruction. ila andaa jembe na fyekeo (nakutania mwaya). hongera kwa kupata chuo. kila la kheri

Huwa Sua hawatumi joining Instruction. Ila pitia web yao wametoa maelezo fresh. Kama kuna tatizo we ni Pm, nimemaliza sua, so nakifahamu fresh.
 
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />...asante bhana!....mekupata pamoja sana!...ila third round application umeisikia?TCU mwaka huu bhana!duh...&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Hoooongeeeeera jembeee?!! Vp dogo wangu mbona unapapenda sana hapo morogoro.? Toka kule mahenge kwa kimbunga mpaka kilosa kwa wakaguru?
 
Mmmh!...emb ni PM kuhusu wewe swahibbber?...mamboz.....ni mambo musuri ya SUA imenivutia!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hoooongeeeeera jembeee?!! Vp dogo wangu mbona unapapenda sana hapo morogoro.? Toka kule mahenge kwa kimbunga mpaka kilosa kwa wakaguru?
<br />
<br />
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom