Halima james
Member
- Jun 3, 2013
- 32
- 3
Mm nimemaliza diploma ya financial administration so nlikua nataka kuomba mzumbe cz ilove hichi chuo bt mmejaribu kuulizia nimeambie wale wenye ufaulu mzur ndo wanokua admitted. m gpa yangu ni 3 je kuna uwezekano wa kupata... msaada wenu tafadhalii