Kwa wale wa MAKOKO Seminary na Waseminary wote.

Ng'wanza Madaso

JF-Expert Member
Oct 21, 2008
2,268
333
. . .Kwa wengi mtakuwa wenyeji wa jina hili Fr.Michael James Snyder. Huyu Bwana alikubwa na kashifa nyingi hasa za kuwalawiti waseminari pale makoko,Alitumia upadre wake kuwadanganya vijana kwa kuwafundisha Basketball na kuwaletea viatu vipya kutoka Marekani. Cha kushangaza alifumbiwa macho na maaskofu Marehemu Samba,Marehemu Butibubage na Marehemu Mayala. Kwani taarifa walipewa na hawakuzifanyia kazi.

. . .Mwaka 1996 aliondoka na kurudi kwao Marekani, cha ajabu mwaka 2007 alirudi Tanzania and he is the Catholic Chaplain at the Muhimbili University of Health and Allied Sciences.

. . .Huyu mtu hapaswi kufumbiwa macho

Snyder13.jpg

Mike and some students working in the garden outside the chapel and offices preparing for Christmas Celebrations in 2007

Snyder91.JPG

The Group gathers for Picture taking after one of Fr. Mike's retreats.
 
Kwa kweli umeongea na umetukumbusha huyu padre na kashfa zake.Unayosema ni kweli kabisa. mimi nimecheza naye mpira wa kikapu pale Mwembeni Diocese. Anapenda sana kikapu huyu. Lakini janja yake ilikuwa kuwapata watoto wa kiume wa wenzake.Na alianzia tarime kabla ya kwenda makoko na ndiye aliyekuwa mkuu wa MaryKnoll fathers wa Tanzania. Alikuwa na timu kubwa sana ya vijana ambao walikuwa wanajulikana kila kona, na kwa bahati mbaya akiwakuta na wasichana aliwatimua na kuwatishia kutowasaidia.Alikuwa akiwasomesha Nairobi, mwembeni secondary na hata makoko Serminari.

kwa wazazi haikuwa rahisi kumshtukia kwa kuwa alionekana akiwa mstari wa mbele kusaidia watoto. Alihama na vijana kutoka tarime, musoma mjini akawatafuta wengine-kwa umaskini wa watoto wengi wakidhani watasaidiwa.
kwa wacheza basket akiwaambia mnataka "rebook" au "jeans" wakati huo majeans ndo yakiwa yameingia ingia.(huu ndio utani uliokuwapo pale diocese na musoma nzima kuhusiana na father maiko).
kwa ufupi amewaharibu vijana wengi mpaka kufikia sasa.Wengi wameshindwa kurudi katika hali zao za kawaida. hata wakioa hawadumu na wake zao-si waume tena. kwa vijana wapenda basket musoma wakati huo wamshukuru kocha rasta ROBIN-yupo musoma na umeme jua kwa sasa-kwa kuwasponsor-otherwise mmh ingekuwa balaa. huyu bwana alihamishiwa Dar, siku moja wakati team ya mwembeni inacheza pale uwanja wa ndani wa taifa nilimowona akiwa na kundi kuuubwa la vijana-wapya wadogowadogo wakipanda kwenye gari lake-kwa kumwona tu alishakuwa ameanza kuwachakachua.
TABIA kama hizi hazifai, na zisiachwe kuendelea na kufumbiwa macho. wapo mapadre wengi wanaorithi tabia ya huyu bwana(moshi n.k)-na pengine si mapadre tu-wapo watu wengi wa namna hii; tukiwafahamu tuwaumbue. baada ya muda mfupi tu vijana wote watakuwa mashoga.

Mungu tusaidie-wanajamii tuikatae tabia hii chafu. Na serikali jamani mmeishaonyeshwa huyu mtu alipo, amevaa ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, wakati papa anawaombea msamaha wa huko maerkani, ujeremanai n, uningereza,n.k., mbona tania hii inaachwa kuendelea katika nchi maskini kama tanzania.
afukuzwe akawaharibu watoto wao huko huko kwao-hana aibu--ohhh father michael!!!
 
Mkuu Rukiko hapo umeongea,na cha ajabu hapa JF kuna habari watu hawataki kuzichangia. Ila cha muhimu ni kuwa huyu Bwana nataka nichukue hatua madhubuti ya kumfanya aonekane hafai mbele ya jamii lakini nashindwa wapi pa kuanzia. Ili watu wachangie hapa ni kipi kifanyike?
 
Leo ndio mmemkumbuka? mlikuwa wapi ku-take action wakati wote?
pipo bana!
 
Leo ndio mmemkumbuka? mlikuwa wapi ku-take action wakati wote?
pipo bana!
Action kama zipi? nimeileta hapa kwani kwa sasa kuna uhuru mkubwa wa kujieleza sio kama enzi hizo,Kipindi kile tulifumbwa midomo kwa sababu ya Useminari.Hapa Jf kuna waandishi wa habari ambao huchungulia itakuwa rahisi kwao kufatilia, sisi bado ni watoto wa wakulima hatuna uwezo kusimama na huyu jamaa. La mwisho kama viongozi wakuu i mean Maaskofu walilijua hili na wakashindwa kufuatilia je sisi tungeweza.
 
Kama ni kweli hii ishu inatakiwa ifike kwenye vyombo vya sheria.
 
miongoni mwa aliowaharibu kupitia basktball ni marehemu Musiba kijana alosoma Makongoro Seminari he was very goos at basktball

tumemzika kama miaka 5 ilopita
Lakini kwanini mapadre wengi wametumbukia katika matendo machafuu haya ?
nadhani waoe tuuuu
 
si kila mtu anayesema lazima awe ameathirika. kinachofanyika hapa ni katika hali ya kuwasaidia vijana wengi tu-ambao ndio nguvu kazi ya taifa letu wasiharibiwe. kwa kuwa huyu bwana bado yupo, na watu wengine kama yeye wapo-basi tunasema tabia hii isifumbiwe macho. hawa watu hawafai kuwa katika jamii yetu hii leo. kuliko kujificha kwenye pazia la upadre-waoe. watoto wa kitanzania kama musiba-wataendela kufa wengi tu.
huyu anayesema eti kama ni issue-akumbuke tu hata jamii forum haikuwapo wakati huo-ungesemea wapi haya.tunapata nafasi ya kusema maovu unatukatisha tamaa-isije ikawa na wewe una tabia kama za huyu mtu
 
. . .Kwa wengi mtakuwa wenyeji wa jina hili Fr.Michael James Snyder. Huyu Bwana alikubwa na kashifa nyingi hasa za kuwalawiti waseminari pale makoko,Alitumia upadre wake kuwadanganya vijana kwa kuwafundisha Basketball na kuwaletea viatu vipya kutoka Marekani. Cha kushangaza alifumbiwa macho na maaskofu Marehemu Samba,Marehemu Butibubage na Marehemu Mayala. Kwani taarifa walipewa na hawakuzifanyia kazi.

. . .Mwaka 1996 aliondoka na kurudi kwao Marekani, cha ajabu mwaka 2007 alirudi Tanzania and he is the Catholic Chaplain at the Muhimbili University of Health and Allied Sciences.

. . .Huyu mtu hapaswi kufumbiwa macho

Snyder13.jpg

Mike and some students working in the garden outside the chapel and offices preparing for Christmas Celebrations in 2007

Snyder91.JPG



kaka umefanya makosa kutumia hii picha hapa namuomba moderator aiondoe mara moja kuna vijana wanaonekana hapo hasa huyo dogo mweupe ambaye alikuwa mseminari pale mwanza naona unavayoweka picha hii hapa ni kama unaionyesha jamii kuwa vijana hao pia walikumbwa na huyo Padri, tafadhali ondoa picha hiyo unaharibu reputation ya watu wengine wasiohusika tafafuta picha ya padri akiwa mwenyewe, maadili na privacy zizingatiwe.
 
. [/COLOR][/SIZE]

kaka umefanya makosa kutumia hii picha hapa namuomba moderator aiondoe mara moja kuna vijana wanaonekana hapo hasa huyo dogo mweupe ambaye alikuwa mseminari pale mwanza naona unavayoweka picha hii hapa ni kama unaionyesha jamii kuwa vijana hao pia walikumbwa na huyo Padri, tafadhali ondoa picha hiyo unaharibu reputation ya watu wengine wasiohusika tafafuta picha ya padri akiwa mwenyewe, maadili na privacy zizingatiwe.
Mkuu hakuna aliyesema wao ndo wale,kilichokuwa kinajadiliwa hapa ni enzi za huyu Padre alivyokuwa Merynoll fathers pale Makoko. Hii ni kama tahadhari kwa wale wasiomjua vituko vyake.

 
Yes kweli ingawa binafsi ni mkatoliki makosa kama haya tikufumbuka macho tunatakiwa tuyafuatilie. lakini tusiyahusihe na dini ni matatizo ya watumishi binafsi na ni wachache

Lakini bila msaada wa waathirka kujitokeza itabaki ni hadithi ya kusadikika.
 
Yes kweli ingawa binafsi ni mkatoliki makosa kama haya tikufumbuka macho tunatakiwa tuyafuatilie. lakini tusiyahusihe na dini ni matatizo ya watumishi binafsi na ni wachache

Lakini bila msaada wa waathirka kujitokeza itabaki ni hadithi ya kusadikika.
Wanaogopa kujitokeza kwa sababu ni Aibu wanaona no Bora wafe na hiyo aibu moyoni Mwao, kina Mashalla mtu na mdogo wake,yule jamaa wa kisesa Daudi aliyehamishiwa MAUA SEMINARY na huyu FR.Michael ili kumlindia heshima wako wengi sana.
 
huyo father kama alifanya huo mchezo ni wa kukaumkiwa,na kama mnasema amerudi kwa nini msiripoti mchezo wake?

Swali la kizushi:
hivi aliwalazimisha hao vijana? Sio kwamba na wenyewe walikuwa na vielement vya kupenda huo mchezo? Yaani anakulaghai kwa jeans? Mwanaume unakubali?
 
Mapadri bana!
Waruhusiwe tu kuoa, wanaudhalilisha ukatoliki na wakatoliki wote..
 
kweli taarifa hizo zilisikika lakini zilikuwa na utata kwani hakuna aliyejitokeza ktk kusema kama ametoa tigo yake kwa Meja,japo watu walisikika wakiwataja watu kama akina Steven Mashala na mdogo wake,David Bonifasi,Kimonya,Mwenge Chajunyo,Mdashi ambaye ni shoga hadi leo anasasambua kwenye vitchen party kila kona..lakini hakuna aliyethibitisha hili..hebu ninyi mliopewa shutuma hiz tupeni ukweli japo usitaje jina lako...na kama ni kweli na kumjibu wa sera za kanisa katoliki mna haki ya kudai fidia tena kubwa sana kwa udhalilishwaji huo....hebu mlitafakari kwa kina jambo hili...!
 
Huyu ndiye Michael aliyekuwa Bunda kabla ya kuhamishiwa Tarime miaka ya 80 au mwingine?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom