Kwa wale wa Kusini Lindi Mtwara, wenyewe wanaita ming'oko.

Abbasfarudume

JF-Expert Member
Feb 14, 2017
1,625
1,323
6a15dedb805caf850456bf465f55cd90.jpg
 
Acha kabisa hiyo kitu usiombe ukute imepikwa wakatwanga wakiwa wamechanganya na mbegu za watermelon na ukapiga kwa ugali wa muhogo duuu mnanikumbusha enzi zileeeee tulikawa tunaheshemu mwenge bila kwenda mashambani
 
Inaweza kupondwa pamoja na "bwimbwi"(unga upatikanao baada ya kuzisaga popcorn) na kupatikana kitu kama ugali hivi...Hicho kitu kinaitwa "Chikandanga"
 
Haina ladha yoyote. Ladha yake ni pilipili na chumvi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom