seniorgeek
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 500
- 128
Oi Jombii, Sidhani kama hiyo ni mkogoraa. Naona inatupiwa na kitu cha chumvi na pilipili.unaitwa mkongoraaaa wachuganism[arusha] kwa jina hilo
Oi Jombii, Sidhani kama hiyo ni mkogoraa. Naona inatupiwa na kitu cha chumvi na pilipili.unaitwa mkongoraaaa wachuganism[arusha] kwa jina hilo
Tatizo huwa hazishibishi
Sawa mkuuRufiji twaiita M'bao
Haina ladha yoyote. Ladha yake ni pilipili na chumvi tu
Duuuh mkuu unataka ushibe kabisaTatizo huwa hazishibishi
Kwani ya uchunguNiliwahi kuonja nusu nitapike
Numbu ..Zafanana na 'I numbu' za kwetu Mbeya!
Huo sio mkongoraa mkuu.unaitwa mkongoraaaa wachuganism[arusha] kwa jina hilo
ni mitamu sana ukitwanga inaitwa chikandanga
Umeoa huko nini mkuu au, ndio nyumbani kwenu huko?ni mitamu sana ukitwanga inaitwa chikandanga
ndo hmeUmeoa huko nini mkuu au, ndio nyumbani kwenu huko?