Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?

Shida mtoto akija kumtaka baba yake...hapo itakuwaje!?

Hakuna namna Baba mtoto anachukua mwanae, ila tu kama. Mtoto ana miaka 7 na kuendelea lakini pia kama mama wa mtoto anakubali kuwa yule jamaa ndio mzazi wa huyo mtoto. Hakuna faili zaidi ya hapo, kesi inafungwa.
 
Acha singo maza .....Hata km akiwa ten maza.......tatizo ni kwamba picha zinaenda..... Mfano Emmanuel macron yule bana kaoa km bibi yake kabisaaa....tena anapiga nae picha za wazi akiwa na kibibi....na yule bibi ni mzee kuliko mke wa trump. Au huyu rais wa sasa ivi.....
 
Acha singo maza .....Hata km akiwa ten maza.......tatizo ni kwamba picha zinaenda..... Mfano Emmanuel macron yule bana kaoa km bibi yake kabisaaa....tena anapiga nae picha za wazi akiwa na kibibi....na yule bibi ni mzee kuliko mke wa trump. Au huyu rais wa sasa ivi.....
Picha zinaenda kiaje yaani sijakuelewa mkuu ?
 
Lakini kuna neno kwenye biblia lilishatuonya kwamba ,TUIKIMBIE ZINAA usingekuta haya mambo ya blah blah za single mothers n.k. lakini sisi binadamu ni vichwa ngumu hatuelewi yaani .
Hizi ligi za kusema sijui single mothers tuoe ,dah hapana kwa kweli. Nasema hivyo mimi nikiwa ni mfano wa mtoto niliyelelewa na single mother.kuna mambo fulani fulani yameniathiri kisaikolojia kutokana na kulelewa na mzazi mmoja.
Na pia hata ukisema unaoa single mother je wewe unadhani wale watoto ulio wakuta naye utawapenda kama wa kwako? Hapo tayari ni tatizo kwa kuwa mizani ya upendo haita balansi kwa watoto.hilo ni tatizo la kisaikolojia ambalo litagharimu kizazi chako for many years to come .
Binafsi single mother hapana aisee.
Kama nataka familia (kama ni lazima) nitaenda kwenye vituo vyao kulelea yatima.
Na kama ni uhitaji wa ngono itabidi niende sehemu zao specific lakini sio single mother ..
Single mothers wanapandikiza chuki mbaya sana kwa watoto kiasi kwamba inakuja kuleta shida sana baadaye kwenye familia hadi ukoo.
Inabidi tuwaelimishe hawa mabinti mathara ya kuzaa na mtu kabla ya ndoa. Unakuta bintu mdogo kazalishwa watoto kadhaa , watoto wanaishi kwa tabu. Mimi nalea watoto 6 ambao ni matokeo ya single mother ili hali sina mtoto hata mmoja.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu na wanajamvi la Hoja mchanganyiko? Nitaomba radhi kwa yule nitamkwaza ila acha niliweke hili swala hapa jukwaani tulijadili.

Mimi nimebahatika kulelewa na wazazi wote wawili mpaka nimekuwa mtu mzima. Kufika kwangu hapa ni Juhudi za bila kuchoka za Mama na Baba kwa Msaada ya Muumbaji. Kama kijana niliyelelewa maisha hayo, naweza nisijue namna gani ilivyo kulelewa na mzazi mmoja, zile hustle zilipaswa zifanywe na wqzazi wote wawili zinafanywa na mzazi mmoja, are you thinking what am thinking

Daaah kwanza salute sana Kwenu single mothers, Mnapambana na muendelee kupambana ila tu msituchukie wanaume.

Mzazi mmoja anapiga kazi ya watu wawili, daah, Hat off to all of respective and hard working single mothers out there. Najatibu kuwaza mambo ambayo baadhi ya wadada ambayo nimetokea kuwa na urafiki nao,kiukweli vita wanavipiga.

Unajua kuna muda anaenda kudanga ili tu apate pesa ya kuwalisha, kuwasomesha watoto. Mtoto wa single mother anakuwa kwa uwezo wa Mungu kupitia akili janja ya mwanamke.

Wakati nakua nimekua nikiona vile mama zangu wadogo wanavyopambana kulea familia zao. Na wengine waliobahitka kupata mabwana walipata support kubwa kutoka kwa hawa wanaume na watoto waliwalea mpka leo wamekua. Lakini kundi hili la single mothers wanaolea watoto wao kwa kutumia mfuko au Pochi ya Madanga ni wengi sana, almost 90%. Na haka kakundi ndio nataka tukajadili hapa leo hii.

Kuna vijana wa kiume ambao leo hii, Boastfully, wanasema mimi sitakuja kuoa mwanamke aliye mtoto tayari. Mimi hii naiona sio sahihi, hawa ndio walipaswa wawe wakwanza kuwaoa hawa single mother as the payback. Kama vile nyinyi mlivyolelewa yawapasa mlipe shukrani kwa mwenyezi kwa kuwafuta machozi hawa wanawake walio na watoto na hawana Wanaume.

Kama vile nyinyi mlilelewa kwa shida mnajua vile mama anahangaika sana kuendesha familia anapokuwa pekee yake, mnapaswa mrudishe shukrani kwa mwenyezi kwa kwenda kuwalea hao watoto ambao Baba zao wapo au hawapo duniani.

Niwaombe sana sana vijana wenzangua wa kume mliolelewa na Mama mmoja, nendeni mkaoe single mother muwafute machozi kama vile mama zenu walivyofutwa machozi na Baba zenu wa kufikia.

Sio uongo na nyinyi mnajua, wale Baba wa kufikia walikuwaga wanawapeni vipesa vya kujikimu shule na mengineyo na hatima yake mama aliweza kuwakuza hadi mmefikia hapo.

Na nyie dada zetu mliopata watoto na hamuishi na hao Baba za watoto msijisifu sana kwa watoto eti kuwa umewalea hao watoto bila msaada wa mtu yoyote, kwelii? Hivi wale wanaowalipia ada za watoto wenu ni akina nani na wanaolipa kodi ya pango la nyumba ni akina nani?

Ifike mahala unawabia watoto wako wakiume ukweli, ili siku wakikua waweze kuwasupport akina dada au akina mama wemye watoto kama nyinyi mlivyo kuwa.

Ni hayo tu, Nakaribisha maoni na michango juu ya mafikirio yangu haya usiku huu wa manane. Naamini meseji imefika. Mnisamehe nitakaowakwaza.


MY FAVORITE COMMENT

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Singo mazel....... Nyie wanaume wa humu acheni kujishaua.... Tena wanaume wa humu acheni kabisa

Tunawajua vzuri wengi wenu mnaosema singo maza hivi singo maza vile si ndo nyie mnakimbia watoto kila siku wengine ndo hao mmekaa kimchongo mnalelewa na hao singo maza...... Kuna lijianaume lingine huku linaendesha gari la single mother na linakula chakula Cha single maza

Wanawaume wa kuoa siku hizi hawapo Wana maisha magum mno awafanyi Kazi wanalamba lips na miku**** ya wanaume wenzao wapate pesa ya kujikimu

Wanawake humu wanaume ni wachache sana kueni makini....Wengi wao ni kina naniii tu
 
Habari za wakati huu ndugu zangu na wanajamvi la Hoja mchanganyiko? Nitaomba radhi kwa yule nitamkwaza ila acha niliweke hili swala hapa jukwaani tulijadili.

Mimi nimebahatika kulelewa na wazazi wote wawili mpaka nimekuwa mtu mzima. Kufika kwangu hapa ni Juhudi za bila kuchoka za Mama na Baba kwa Msaada ya Muumbaji. Kama kijana niliyelelewa maisha hayo, naweza nisijue namna gani ilivyo kulelewa na mzazi mmoja, zile hustle zilipaswa zifanywe na wqzazi wote wawili zinafanywa na mzazi mmoja, are you thinking what am thinking

Daaah kwanza salute sana Kwenu single mothers, Mnapambana na muendelee kupambana ila tu msituchukie wanaume.

Mzazi mmoja anapiga kazi ya watu wawili, daah, Hat off to all of respective and hard working single mothers out there. Najatibu kuwaza mambo ambayo baadhi ya wadada ambayo nimetokea kuwa na urafiki nao,kiukweli vita wanavipiga.

Unajua kuna muda anaenda kudanga ili tu apate pesa ya kuwalisha, kuwasomesha watoto. Mtoto wa single mother anakuwa kwa uwezo wa Mungu kupitia akili janja ya mwanamke.

Wakati nakua nimekua nikiona vile mama zangu wadogo wanavyopambana kulea familia zao. Na wengine waliobahitka kupata mabwana walipata support kubwa kutoka kwa hawa wanaume na watoto waliwalea mpka leo wamekua. Lakini kundi hili la single mothers wanaolea watoto wao kwa kutumia mfuko au Pochi ya Madanga ni wengi sana, almost 90%. Na haka kakundi ndio nataka tukajadili hapa leo hii.

Kuna vijana wa kiume ambao leo hii, Boastfully, wanasema mimi sitakuja kuoa mwanamke aliye mtoto tayari. Mimi hii naiona sio sahihi, hawa ndio walipaswa wawe wakwanza kuwaoa hawa single mother as the payback. Kama vile nyinyi mlivyolelewa yawapasa mlipe shukrani kwa mwenyezi kwa kuwafuta machozi hawa wanawake walio na watoto na hawana Wanaume.

Kama vile nyinyi mlilelewa kwa shida mnajua vile mama anahangaika sana kuendesha familia anapokuwa pekee yake, mnapaswa mrudishe shukrani kwa mwenyezi kwa kwenda kuwalea hao watoto ambao Baba zao wapo au hawapo duniani.

Niwaombe sana sana vijana wenzangua wa kume mliolelewa na Mama mmoja, nendeni mkaoe single mother muwafute machozi kama vile mama zenu walivyofutwa machozi na Baba zenu wa kufikia.

Sio uongo na nyinyi mnajua, wale Baba wa kufikia walikuwaga wanawapeni vipesa vya kujikimu shule na mengineyo na hatima yake mama aliweza kuwakuza hadi mmefikia hapo.

Na nyie dada zetu mliopata watoto na hamuishi na hao Baba za watoto msijisifu sana kwa watoto eti kuwa umewalea hao watoto bila msaada wa mtu yoyote, kwelii? Hivi wale wanaowalipia ada za watoto wenu ni akina nani na wanaolipa kodi ya pango la nyumba ni akina nani?

Ifike mahala unawabia watoto wako wakiume ukweli, ili siku wakikua waweze kuwasupport akina dada au akina mama wemye watoto kama nyinyi mlivyo kuwa.

Ni hayo tu, Nakaribisha maoni na michango juu ya mafikirio yangu haya usiku huu wa manane. Naamini meseji imefika. Mnisamehe nitakaowakwaza.


MY FAVORITE COMMENT

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Usioe kwa kumuonea mwanamke huruma,oa kwa sababu umempata akufaaye maishani
 
Wanawake hawana shukrani ata umfanyie lipi utakuja kuishia kudharaulika tu

Single mother hatuoi hawa ni laana sababu huwa wanalinga sana kipindi wapo mabinti dharau nyingi anaweza akamkataa jamaa mwenye nia ya kuoa kisa anadate na Mme wa mtu
.
 
Vijana tunaponea hao wanajifanya singo mtu ht ndala ziko Pair😎.
Wabaki na waliowazalisha huko.
 
Ila mkiwa mnawat*ba huwa mnawambia na haya maneno ? Unaomba gemu mtoto wa watu anakupa mauno mpaka unamwaga ndani ila baadae mnashindwana. Sasa baada ya hapo inakuwa unamtoto nje..! Mnakuja huku mmejificha uhalisia mnaanza kuwatupia mawe hao hao waliokuwa wanawakatikia…SMH
Kuna ndugu yangu alimpa ujauzito dada mmoja, wazazi wake wakamuambia utamuoa huyu huyu. Akafungishwa ndoa kwa lazima. Wanasumbuana hivyo hivyo lakini bado wako pamoja. Sisi kwenye ukoo wetu unaruhusiwa kuoa single mother lakini asiwe na mtoto wa kiume.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu na wanajamvi la Hoja mchanganyiko? Nitaomba radhi kwa yule nitamkwaza ila acha niliweke hili swala hapa jukwaani tulijadili.

Mimi nimebahatika kulelewa na wazazi wote wawili mpaka nimekuwa mtu mzima. Kufika kwangu hapa ni Juhudi za bila kuchoka za Mama na Baba kwa Msaada ya Muumbaji. Kama kijana niliyelelewa maisha hayo, naweza nisijue namna gani ilivyo kulelewa na mzazi mmoja, zile hustle zilipaswa zifanywe na wqzazi wote wawili zinafanywa na mzazi mmoja, are you thinking what am thinking

Daaah kwanza salute sana Kwenu single mothers, Mnapambana na muendelee kupambana ila tu msituchukie wanaume.

Mzazi mmoja anapiga kazi ya watu wawili, daah, Hat off to all of respective and hard working single mothers out there. Najatibu kuwaza mambo ambayo baadhi ya wadada ambayo nimetokea kuwa na urafiki nao,kiukweli vita wanavipiga.

Unajua kuna muda anaenda kudanga ili tu apate pesa ya kuwalisha, kuwasomesha watoto. Mtoto wa single mother anakuwa kwa uwezo wa Mungu kupitia akili janja ya mwanamke.

Wakati nakua nimekua nikiona vile mama zangu wadogo wanavyopambana kulea familia zao. Na wengine waliobahitka kupata mabwana walipata support kubwa kutoka kwa hawa wanaume na watoto waliwalea mpka leo wamekua. Lakini kundi hili la single mothers wanaolea watoto wao kwa kutumia mfuko au Pochi ya Madanga ni wengi sana, almost 90%. Na haka kakundi ndio nataka tukajadili hapa leo hii.

Kuna vijana wa kiume ambao leo hii, Boastfully, wanasema mimi sitakuja kuoa mwanamke aliye mtoto tayari. Mimi hii naiona sio sahihi, hawa ndio walipaswa wawe wakwanza kuwaoa hawa single mother as the payback. Kama vile nyinyi mlivyolelewa yawapasa mlipe shukrani kwa mwenyezi kwa kuwafuta machozi hawa wanawake walio na watoto na hawana Wanaume.

Kama vile nyinyi mlilelewa kwa shida mnajua vile mama anahangaika sana kuendesha familia anapokuwa pekee yake, mnapaswa mrudishe shukrani kwa mwenyezi kwa kwenda kuwalea hao watoto ambao Baba zao wapo au hawapo duniani.

Niwaombe sana sana vijana wenzangua wa kume mliolelewa na Mama mmoja, nendeni mkaoe single mother muwafute machozi kama vile mama zenu walivyofutwa machozi na Baba zenu wa kufikia.

Sio uongo na nyinyi mnajua, wale Baba wa kufikia walikuwaga wanawapeni vipesa vya kujikimu shule na mengineyo na hatima yake mama aliweza kuwakuza hadi mmefikia hapo.

Na nyie dada zetu mliopata watoto na hamuishi na hao Baba za watoto msijisifu sana kwa watoto eti kuwa umewalea hao watoto bila msaada wa mtu yoyote, kwelii? Hivi wale wanaowalipia ada za watoto wenu ni akina nani na wanaolipa kodi ya pango la nyumba ni akina nani?

Ifike mahala unawabia watoto wako wakiume ukweli, ili siku wakikua waweze kuwasupport akina dada au akina mama wemye watoto kama nyinyi mlivyo kuwa.

Ni hayo tu, Nakaribisha maoni na michango juu ya mafikirio yangu haya usiku huu wa manane. Naamini meseji imefika. Mnisamehe nitakaowakwaza.


MY FAVORITE COMMENT

Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
Kwa wale vijana wa kiume, mnawezaje kusema sitakuja kuoa mwanamke aliyezaa?
We ukichukua aliezaa inatosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom