Kwa wale vijana wa enzi zile mliolowea Ughaibuni

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Wengi mliondoka utawala wa awamu ya pili. Baada ya mzee Ruksa kuruhusu kila kitu ruksa watu Walianza kushika pesa na na pia kugundua kuwa passport yetu ilikuwa visa on entry kwa nchi karibu zote ukiondoa Israel na South Africa.

Wengi mlijilipua Kinyarwanda Kisomali na wengine kuoa na kuolewa na wazungu. Yote ilikuwa harakati za kutafuta makarasi na wengi hawakukumbuka shule waliendeleza box na miaka ikakimbia

Wengi wenu sasa mko kwenye late 40’s - early 50’s. Ni hivi:

Kama hujajenga nyumba nyumbani wakati wa kununua kiwanja ni huu wa utawala wa awamu ya tano. Milioni 5 unapata kiwanja.

Kama hujajipanga vizuri kuwa na pension ya uhakika huko ulliko inayoweza kukupa milioni 1-1.5 au zaidi ya hapo, na nyumba huna nyumba ni bora ukomae huko huko Ughaibuni.

Gharama za matibabu ziko juu mno nyumbani na quality haitakuwa ile uliyoizoea. Ukiwa na pesa ni habari nyingine utaruka South Africa.

Kwa wale wa kupombeka Fosters na kangara ni tofauti sana. Utaitwa mzee wa mataptap 😂
 
Sky, hii sio kwa walio ughaibuni tuu, hata walio bongo pia wakisinzia tuu watastuka wako on 40s halafu kila kiku kiko mrama.

La muhimu na msingi na mbolea ni kutokukata tamaa, omba uzima na afya njema.

K' Matata.
 
Sky, hii sio kwa walio ughaibuni tuu, hata walio bongo pia wakisinzia tuu watastuka wako on 40s halafu kila kiku kiko mrama.

La muhimu na msingi na mbolea ni kutokukata tamaa, omba uzima na afya njema.

K' Matata.
Asante mkuu lakini walio Ughaibuni wengi wana hali mbaya. Wale wa form four B div IV na 0 wanaona haya kurudi home kama hawakupandisha madarasa.

Sasa kama huna mtu wa kumwamini akujengee na karatasi la kuindokea huna. Patamu sana hapo .
 
Asante mkuu lakini walio Ughaibuni wengi wana hali mbaya. Wale wa form four B div IV na 0 wanaona haya kurudi home kama hawakupandisha madarasa.

Sasa kama huna mtu wa kumwamini akujengee na karatasi la kuindokea huna. Patamu sana hapo .

Ni kweli wana wakati mgumu, ila kuwasaidi zaidi pangekuwa na suluhisho kuwa sasa wafanyaje. Na wengi wa uliosema utakuta mahusiano yao na nyumbani sio mazuri hivo hawawezi kutuma hela waanze kujengewa rahisi kuitapeliwa na ndugu.

Likipatikana suluhisho kwao hata kwa kulipia watalifanyia kazi. Hii ni fursa mradi tuu iwe ya uhakika kwa watachofanya kitafanikiwa mia ya mia.
 
Ni kweli wana wakati mgumu, ila kuwasaidi zaidi pangekuwa na suluhisho kuwa sasa wafanyaje. Na wengi wa uliosema utakuta mahusiano yao na nyumbani sio mazuri hivo hawawezi kutuma hela waanze kujengewa rahisi kuitapeliwa na ndugu.

Likipatikana suluhisho kwao hata kwa kulipia watalifanyia kazi. Hii ni fursa mradi tuu iwe ya uhakika kwa watachofanya kitafanikiwa mia ya mia.
Kama kungekuwa na kampuni ya kujenga nyumba na wakawa wanatembelea ofisi za ubalozi kuwakaribisha wanaotaka kuingia mkataba kwa $ 300 au zaidi kwa mwezi wangeokoa wengi.
 
n
Ni kweli wana wakati mgumu, ila kuwasaidi zaidi pangekuwa na suluhisho kuwa sasa wafanyaje. Na wengi wa uliosema utakuta mahusiano yao na nyumbani sio mazuri hivo hawawezi kutuma hela waanze kujengewa rahisi kuitapeliwa na ndugu.

Likipatikana suluhisho kwao hata kwa kulipia watalifanyia kazi. Hii ni fursa mradi tuu iwe ya uhakika kwa watachofanya kitafanikiwa mia ya mia.
aona fursa hapa.
 
Sky, hii sio kwa walio ughaibuni tuu, hata walio bongo pia wakisinzia tuu watastuka wako on 40s halafu kila kiku kiko mrama.

La muhimu na msingi na mbolea ni kutokukata tamaa, omba uzima na afya njema.

K' Matata.

Mimi mwaka wa 23 huu nimeshindwa kurudi nyumbani. Natawaza vizee tu huko Ulaya.
 
Mimi mwaka wa 23 huu nimeshindwa kurudi nyumbani. Natakawaza vizee tu huko Ulaya.

Mie mwaka huu navuta pension yangu, ntakuja hukohuko na mimi unitawaze hadi nirest in peace, zitakazobaki ntakuachia iwe nauli ya kurudi Ikungulya...... mie hata wasihangaike kunisafirisha.

Halafu kumbe umezeeka zeeka na wewe eeehh ila hujanifikia kwa uzee, umepiga 23 huko duuh. Uko vizuri, basi kuanzi mwakani nakuhamishia boksi uwe unabeba kwangu hehehehehehhehheee mbiiiooooo.
 
Mie mwaka huu navuta pension yangu, ntakuja hukohuko na mimi unitawaze hadi nirest in peace, zitakazobaki ntakuachia iwe nauli ya kurudi Ikungulya...... mie hata wasihangaike kunisafirisha.

Halafu kumbe umezeeka zeeka na wewe eeehh ila hujanifikia kwa uzee, umepiga 23 huko duuh. Uko vizuri, basi kuanzi mwakani nakuhamishia boksi uwe unabeba kwangu hehehehehehhehheee mbiiiooooo.

Fcuk yuuuuuuu
 
Sky, hii sio kwa walio ughaibuni tuu, hata walio bongo pia wakisinzia tuu watastuka wako on 40s halafu kila kiku kiko mrama.

La muhimu na msingi na mbolea ni kutokukata tamaa, omba uzima na afya njema.

K' Matata.

unapojiita K' MATATA unanifikirisha sana basi tu sina jinsi
 
Back
Top Bottom