Kwa wale tunaoenda xmass december arusha na moshi tuambiazane viwanja vya kukutania

Popote tu huku kaskazini ni chimbo kali....ni ndafu na kitimoto kuanzia Monduli mpaka Tarakea ilimradi uoge kwa bia. Uchumi kwetu hautokaa kuyumba...tutaiba mpaka kanisani kwa paroko na masinagogi ya Freemarsons!
Ha haaa eti mtaiba mpaka kanisani lol
 
Back
Top Bottom