Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Pale hapafai. Hawana mvinyo palePale Liverpool hotel
Pale hapafai. Hawana mvinyo palePale Liverpool hotel
Ngiishi o...mkuu ngiveekeenda sana...kwedu mamseraNyanyi mkuu alya kiboro..
Basi mnaweza mkaanzia Kilimanjaro Motel wakati mnapata mlo wa mchana.Pale hapafai. Hawana mvinyo pale
Ha haaa eti mtaiba mpaka kanisani lolPopote tu huku kaskazini ni chimbo kali....ni ndafu na kitimoto kuanzia Monduli mpaka Tarakea ilimradi uoge kwa bia. Uchumi kwetu hautokaa kuyumba...tutaiba mpaka kanisani kwa paroko na masinagogi ya Freemarsons!
Ngiishi o...mkuu ngiveekeenda sana...kwedu mamsera
Ongezea na sky loungeMatakoo bar
Picnic
la Patio
Bugaloo
Tembo club
Pinpoint
Empire
Rafiki inabidi uje na miwani mikubwa meusi!Hahahahahahahhaha rafiki nikajua ulishayasahau ...ila usiogope rafiki sitakuwa nakuangalia
Ishafungwa hio boss.Ongezea na sky lounge
Rafiki inabidi uje na miwani mikubwa meusi!
Nadhani wa sky ndo wale wa kokorikooIshafungwa hio boss.
Ishafungwa hio boss.
Sina uhakika sana ila nasikia wa babylon ndo hao hao wa SkyNadhani wa sky ndo wale wa kokorikoo
Hv hyo club yenye mlio wa jogoo ipo wapi hyo?Nadhani wa sky ndo wale wa kokorikoo
Acha tupate burudani pale,patamu.Awamu hii nitatafuta na papuchi 1 nije nayoSina uhakika sana ila nasikia wa babylon ndo hao hao wa Sky
Hahah njoo mwenyewe uwe unajichagulia papuchi uwezavyo mkuu,hahah.Acha tupate burudani pale,patamu.Awamu hii nitatafuta na papuchi 1 nije nayo
Za palepale siwez mkuu,sitaenjoy.Acha nikateke kamoja ndo nije nako ili niwe huru.Hahah njoo mwenyewe uwe unajichagulia papuchi uwezavyo mkuu,hahah.
Hahah na totoz wanaamini machalii wanaokuja Moshi/Chuga "doooo" ipo ya kutosha aisee.Za palepale siwez mkuu,sitaenjoy.Acha nikateke kamoja ndo nije nako ili niwe huru.
Fasi ya kijenge arifu.Hv hyo club yenye mlio wa jogoo ipo wapi hyo?
Usiwaze mkuu,ngoja tutafute kwanzaHahah na totoz wanaamini machalii wanaokuja Moshi/Chuga "doooo" ipo ya kutosha aisee.
Mteke aje ale maisha.