Hivi wale Kuku Maziwa waliokuwa wanapatikana kiborloni wamehamia wapi tena???
Tukutane kwa Kipangaš¤£
Pale kiborloni hawapo tena
Pale kiborloni hawapo tena
Usiape bila sababu ya msingiStarehe mbele kwa mbele walahi
Mimi nabaki Dar es Salam walahi
Nitawaombea happy and joyful holidays walahi
Thats why i love youā„Naona tuende mwanza mwanza unasemaje baby
Mrina[/QUOTE
Mmmmhhh tender ya kusikilizia kwa mbali sauti ya jiji tutawapa!!!!!!Tusioenda Xmas December comment zetu zinaruhusiwa hapa?
KindorokoKama kichwa cha habari kinavyojieleza december inakaribia wa mikoani tunaenda kupumzika kidogo vijijini. Kwa wale wakwetu kaskazini tujuzane viwanja vya kukutana. Bata linaanzia njia panda
Rafiki mm nitakujaKaribuni kwangu wakuu nitachinja kitimoto siku hiyo!