nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Hongera kwa walioitwa interview leo, ila mbona kuna kada zingine hawajatoa majina kama FIRE & SAFETY OFFICER, na zinginezo?
Au walitoa alafu hatujayaona?
Au walitoa alafu hatujayaona?
Na wale walio apply hawakuitwa wajuane pia mkuu.Interview ya utumishi n nzuri sana mkuu; kwanza maswali ya kwenye vitini madesa boy/girl wanatamba tu hapo; pili kama haijatangazwa relax watatoa tena majina
Wale tuliofanya procurement tujuane mapema
Aisee kuna interview niliitwa kuingia maswali yote ya madesa afu nilikua sijapitia maana muda umepita,Interview ya utumishi n nzuri sana mkuu; kwanza maswali ya kwenye vitini madesa boy/girl wanatamba tu hapo; pili kama haijatangazwa relax watatoa tena majina
Wale tuliofanya procurement tujuane mapema
Interview ya utumishi n nzuri sana mkuu; kwanza maswali ya kwenye vitini madesa boy/girl wanatamba tu hapo; pili kama haijatangazwa relax watatoa tena majina
Wale tuliofanya procurement tujuane mapema[/QUO
Naomba mwenye hilo desa a nisaidie nitumie inbox ndugu yangu nakuomba saana