NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Hahaaa mjomba umenikumbusha kanuni ya Market distrotion. Tunakuja tu hata kama kuna barafu..... kwanza huku kwetu jotooo mpaka tumechoka
Nitafurahi akija Fab nataka Mweusi weupe nimeshachoka nao kwanza weupe ni baridi wanazidi kunitia baridi. Ukicheza nao mpira ukifunga Goli na yeye mpenzi wako akisawazisha goli ukae ukijuwa mpira ndio umekwisha hataki tena muucheze mpira anakuwa ameshachoka lakini Ngozi nyeusi ndio kwanza anataka kuendelea na Mpira nime wa miss sana wachezaji wenzangu weusi njoo mpenzi FAb nitumie PM tuwasiliane na wewe asante
Haya Mkuu Mbu karibu sana nipo karibu na Urusi si unajuwa Urusi kulivyokuwa na Baridi ya +40 unaweza ukaganda ukitembea njiani lazima uanguke mara mbili au tatu mpaka kule unakofika upo hoi au utembee kidogo kigodo kama kobe karibu sana mkuu Mbu ingawa sijawahi kuona huku mdudu Mbu tangu nisafiri sasa ni miak 20 iliyopita .
dah dah dah! ina maana msanii yupo ndani ya darfur? dah!Hiyo baridi ya +40 hata Dar haijawahi fikia, Dar iko around +35. Mi naona wewe uko Kharthoum kwa Mzee Bashir!
hehehe hayo mazungu nimeyaleta JF yaje kushangilia ma post yangu tu.
Hahahahaha lol naona wanafanya kazi nzuri Sana nini malipo???
Naishi Nchi mbili Uk na Norway, Norway imekaribina na Urusi karibu sana njoo X-PASTER unakaribishwa
Nitafurahi akija Fab nataka Mweusi weupe nimeshachoka nao kwanza weupe ni baridi wanazidi kunitia baridi. Ukicheza nao mpira ukifunga Goli na yeye mpenzi wako akisawazisha goli ukae ukijuwa mpira ndio umekwisha hataki tena muucheze mpira anakuwa ameshachoka lakini Ngozi nyeusi ndio kwanza anataka kuendelea na Mpira nime wa miss sana wachezaji wenzangu weusi njoo mpenzi FAb nitumie PM tuwasiliane na wewe asante
Mara msije, mara njoo unakaribishwa... mbona hueleweki?Mkuu Gama njoo unakaribishwa tu lakini ukija njoo na Suweta yako na koti Kubwa la babu yako lililokuwa zito sana kuweza kustahamili baridi karibu sana Mkuu gama :teeth::teeth::teeth:
Munirudishe kwenye Umeme wa Mgao wa Tanesco? Sitaki kurudi Bora kukaa kwa baridi kuliko huko kwenye shida ya Maji na umeme hamunioni n'gooooooooooooooo
Asante nije kufuata nini wakati nilipoondoka hayo matatizo ya Mgao wa Maji na Umeme niliyaacha na sasa hali ndio hiyo hiyo kuna faida gani ya kurudi njaa tupu Dares-salaam kuna Giza utafikiri mupo Makaburini usiku ikiingia mji Unatowa Sauti ya Vin'gora vya Generator hakufai hata chembe Nchi imeoza Mafiisadi wapo kila upande kila sehemu Majambazi,Mji unanuka siji N'gooooooKama ni ivo koma mkuu usirudi asilani
Mambo yamebadilika kila siku itakuwa Mechi Droo kwanini? Mechi za mpira ni mpira mara ingine matokeo yanabadilika tuAah yaani mechi za huko siku zote ni droo! lakini mh ngoja, mbona juzi tumeona Barca 5 Real 0 ?
nafanya kazi huko mkuuSehemu pekee ambayo Norway imepakana na Urusi ni kule ncha ya Kaskazini kabisa, ambayo nadhani kuna reserves za mafuta, sasa wewe kaka MziziMkavu unafanya nn huko? au unataka kuwekeza kwenye mafuta?
Unakaribishwa Mkuu Feb ukifika Airport nakufuata mwenyewe kabla hujasafiri ni PM nitakupa Detaily zote karibu mpenzi ninakungojea kwa hamu Kuumzizimkavu wengine hatutaniwi...ohoooooooo,usishangae kunikuta mlangoni kwako na mabegi yangu...LOL!
Mzizimkavu
Kisha ile Queen's park saa hizi iko hali gani?
Ni katika sehemu nilizovutiwa nazo duniani