Kwa wale mnaotafuta kazi, soma uzi huu

BROKE BOYS

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
13,218
39,041
Leo manager kazini alinipa kibarua cha kuinterview candidates oficin. To be honest watu bdo hawajui kujieleza jaman, mtu hata tell us abt yourself inamshinda?? Dada zetu ndo hamna kitu wanajiuma tu, mtu unamwambia ataje duties za post ya kazi alo apply lkn wapi, then mtu anakuja kulaumu hku jf cjui nmepiga interview majib sipati. Sasa nakwambia ukiona umekaa 3days toka upige interview kimya jua ww uliharib kwa ps nyingi ukipita haizid 24hrs watakuita wakupe mkataba.

Leo nataka kuwapa mbinu pindi unapoitwa kufanya interview na private sectors (PS)

PS hawakuajil wew kwaajili ya kukupa mshahara ila wanakuajili wewe kwaajili ya kupiga kazi ndomana ps nyingi wanahitaj experiences na skills zako na sio gpa, GPA kwao haimati sana. Yan ps wanakutumia vilivo lazma uwe asset kwao lasivyo ngum sana kupata kazi, je unakitu gan unique ambacho kinakutofautisha na applicants wengine??

Kabla ya interview fanya research abt the company/organization jua profile yake hapa nazungumzia vision, mission nk.., mfano kama campun inataka mtu wa projects wewe kama applicant inabd ujue duties za project coordinator, assistant,manager nk kutokana na post ya kazi inavotaka. Nenda deep zaid Fanya research kujua project zilizofanyika nyuma kuna challenge gan ilitokea mpaka wakahitaj mtu wa project jua kbsa kuna miss somewhere sasa hapo kaz kwako, nenda beyond zaid tafuta na project ambazo campun inataka fanya kila campun ina targets na plan zake each year so kama iliplan kufanya projects 10 ndan ya mwaka bhs lazma zifanyike mf umejua kuna project zitafanyika so waambie kampun imefanya projects 5 na zmebak5 bhs hzo 5 zilizobaki nitafanya 1,2,3 nk asee ww huwez kosa kaz coz unakuw upo serious na kaz hawawez kukunyima kazi. Utaonekan uko unique

Sasa baada ya kujua hvo vitu mhm japo nimeandka kwa ufupi. Siku ya interview fanya yafuatayo kama inafanyika sa4 wewe wai nusu saa kabla ya, usichelew cos utapaniki utashindwa jieleza vzr ndo hapa mtuu anaanza jiuma uma, kingine vaa pendeza vzr kma una saa tupia usisahau na unyunyu, nyoa ndevu vzr na nywele zichonge yan uwe presentable na approachable. Chukua notebook yako na pen. Usisahau kumwomba mungu unavotoka home. Nakupa trick ingine kama ww ni mwoga hujiamin piga hata bia moja ili ikupe kujiamin itakusaidia.

Ukiingia kwa chumba cha interview coz ukiitwa utakuta managers wapo wanakusubir sasa ww wasalimie wote kwa kuwapa mkono huwa hawazid wa2 maranyingi sijui kwa organization zngine, tabasam muda wote, usiwe na overconfidence.
Kwenye interview huwez jibu maswal yote so hta kama utashindwa jibu1 usipanik kama jib hujui bt try ntawapa mbn zngne nxt time.
Kwenye interview kuna qns ambazo nizawekwa kwaajil ya kukuchanganya tu ila core qns huwa hazizid 2. Na kila stage inamax kuanzia physical appearance, confidence, na the way unavojib maswal.

NB: kumbuka unavokwenda kwa interview kuwa serious jua ile ni kaz unaitaka, ila kama hutatake serious itakuw tatizo. Jiandae kama vle ambavyo unamtihani. Then acha uoga. Ukifanya hyo utaleta mrejesho
 
Hivi mkuu mfano wanaokuinterview wakakuuliza tutumie lugha gani katika interview yetu hapa hii ni trick tu au unaweza kuwa huru na kuwaambia tutumie lugha yetu pendwa kiswahili !!
 
Kaka sio kwamba watu hawajui kujieleza tatizo lugha ndugu yangu, kama wewe ulipewa uwezo wa kuzungumza maneno 20 ya lugha ukaeleweka shukuru Mungu tuuuu...

Bibilia Yenyewe inasema Musa hakupewa uwezo wa kuongea mpaka Mungu akamwekea Haruni pembeni awe msemaji wake

Unasemea lugha gan?
 
Sector binafsi wanahitaji inert potential uliyonayo na sio cheti ulichonacho!

Binafsi I appreciate their commitment. Hawataki mzaha. Sio huku gov. Unakuta mhudumu wa ofisi unajua kabisa huyu kichwani chenga tu, kitaaluma.

Ni maeneo machache sana katika government utakuta watu wana madini hata akisema awagawie hayaishi.

Mwaka 2009 nilikwenda HQ ya CRDB bank na bro. Siku ya weekend kumsaidia kazi fulani. Tulipokuwa pale ndani akaniambia unajua dogo hapa ofisini kuna wakurugenzi 12 ukiachana na Executive director ambaye ni mdachi.

Na kila mtu ana Master zisizopungua 2, tena sio za bongo. Na kila mmoja ana ofisi 3 humu ndani, mimi pekee nina ofisi 2 ndiyo mtu wa chini wa hawa jamaa.

Kwa ushahidi alinionyesha ofisi moja sikujua ni director wa nini nilikuwa mchanga kitaaluma. Ofisi ina computer 3, meza 3 na kabati la vitabu tena lugha kama French na zinginezo ukiachana na English. Akaniambia hii ni ofisi ya mtu mmoja tu pekee.

Jamani tusilingie vyeti tulivyonavyo, Jivunie achievements ulizonazo mfano:
-umepata award ngapi?
-ume publish article ngapi kuhusu professional yako?
Kuna watu wanakwambia mimi siwezi kupublish kwa sababu sio academician. Wabongo tuna mazoea,mazoea yana taabu jamani!
-Ume host au ku introduce project ngapi katika ofisi yako?
-umeshiriki kwenye tafiti ngapi na wataalamu wengine wa fani yako?

Tunabaki tunaringia shule tulizosoma wakati hakuna tulichofanya zaidi ya kuwa kazini na kungoja mishahara. Ukimuuliza umesoma chuo gani, haraka sana UDSM, Mzumbe, SUA, KCMC, Muhimbili, BUgando,

Mlete kwenye madini aliyopata huko, kweupee kama ngano ya kutengenezea keki ya Bakhressa.

Ukimuuliza una elimu gani haraka sana hata kusita, kujiuliza kwanini anataka kujua elimu yangu?
Ni kipi hasa kimemvutia? Mtu anaweza kukisia kuwa una elimu kubwa sana bila hata kumwambia kutokana na namna jinsi unavyo act mbele ya wengine.


Napoleon aliwahi kusema, the world will pay you for what you do and not for what you know!

Unaweza usipate shida kwenye interview kwa sababu CV yako inajieleza, una mengi umefanya, inaonyesha kuwa you are open minded person, not conservative .

Sometimes GPA uliyonayo inakuwa chanzo cha ugumu wa interview, watu watakupiga maswali ambayo wanatarajia kuwa kichwa kina madini mengi, kumbe wapi, ulisoma kujibu UE na kutafuta course work tu!

NB: Samahani kwa vyuo nilivyotaja hapo juu, sina maana mbaya ila nimetolea mfano tu.
 
Kaka sio kwamba watu hawajui kujieleza tatizo lugha ndugu yangu, kama wewe ulipewa uwezo wa kuzungumza maneno 20 ya lugha ukaeleweka shukuru Mungu tuuuu...

Bibilia Yenyewe inasema Musa hakupewa uwezo wa kuongea mpaka Mungu akamwekea Haruni pembeni awe msemaji wake
Mkuu ulicho andika kinaweza kuwa sahihi ila naona kuna haja kubwa kwa wale wenye udhaifu huo wa lugha kujifua ipasavyo maana soko la ajira lina wanunuzi wa chache so inatakiwa mtu uwe vyema ili uweze kupenya vinginevyo utamaliza waganga kijana mdogo mpaka utuuzima utakufika
 
Good
Leo manager kazini alinipa kibarua cha kuinterview candidates oficin. To be honest watu bdo hawajui kujieleza jaman, mtu hata tell us abt yourself inamshinda?? Dada zetu ndo hamna kitu wanajiuma tu, mtu unamwambia ataje duties za post ya kazi alo apply lkn wapi, then mtu anakuja kulaumu hku jf cjui nmepiga interview majib sipati. Sasa nakwambia ukiona umekaa 3days toka upige interview kimya jua ww uliharib kwa ps nyingi ukipita haizid 24hrs watakuita wakupe mkataba.

Leo nataka kuwapa mbinu pindi unapoitwa kufanya interview na private sectors (PS)

PS hawakuajil wew kwaajili ya kukupa mshahara ila wanakuajili wewe kwaajili ya kupiga kazi ndomana ps nyingi wanahitaj experiences na skills zako na sio gpa, GPA kwao haimati sana. Yan ps wanakutumia vilivo lazma uwe asset kwao lasivyo ngum sana kupata kazi, je unakitu gan unique ambacho kinakutofautisha na applicants wengine??

Kabla ya interview fanya research abt the company/organization jua profile yake hapa nazungumzia vision, mission nk.., mfano kama campun inataka mtu wa projects wewe kama applicant inabd ujue duties za project coordinator, assistant,manager nk kutokana na post ya kazi inavotaka. Nenda deep zaid Fanya research kujua project zilizofanyika nyuma kuna challenge gan ilitokea mpaka wakahitaj mtu wa project jua kbsa kuna miss somewhere sasa hapo kaz kwako, nenda beyond zaid tafuta na project ambazo campun inataka fanya kila campun ina targets na plan zake each year so kama iliplan kufanya projects 10 ndan ya mwaka bhs lazma zifanyike mf umejua kuna project zitafanyika so waambie kampun imefanya projects 5 na zmebak5 bhs hzo 5 zilizobaki nitafanya 1,2,3 nk asee ww huwez kosa kaz coz unakuw upo serious na kaz hawawez kukunyima kazi. Utaonekan uko unique

Sasa baada ya kujua hvo vitu mhm japo nimeandka kwa ufupi. Siku ya interview fanya yafuatayo kama inafanyika sa4 wewe wai nusu saa kabla ya, usichelew cos utapaniki utashindwa jieleza vzr ndo hapa mtuu anaanza jiuma uma, kingine vaa pendeza vzr kma una saa tupia usisahau na unyunyu, nyoa ndevu vzr na nywele zichonge yan uwe presentable na approachable. Chukua notebook yako na pen. Usisahau kumwomba mungu unavotoka home. Nakupa trick ingine kama ww ni mwoga hujiamin piga hata bia moja ili ikupe kujiamin itakusaidia.

Ukiingia kwa chumba cha interview coz ukiitwa utakuta managers wapo wanakusubir sasa ww wasalimie wote kwa kuwapa mkono huwa hawazid wa2 maranyingi sijui kwa organization zngine, tabasam muda wote, usiwe na overconfidence.
Kwenye interview huwez jibu maswal yote so hta kama utashindwa jibu1 usipanik kama jib hujui bt try ntawapa mbn zngne nxt time.
Kwenye interview kuna qns ambazo nizawekwa kwaajil ya kukuchanganya tu ila core qns huwa hazizid 2. Na kila stage inamax kuanzia physical appearance, confidence, na the way unavojib maswal.

NB: kumbuka unavokwenda kwa interview kuwa serious jua ile ni kaz unaitaka, ila kama hutatake serious itakuw tatizo. Jiandae kama vle ambavyo unamtihani. Then acha uoga. Ukifanya hyo utaleta mrejesho
 
Sector binafsi wanahitaji inert potential uliyonayo na sio cheti ulichonacho!

Binafsi I appreciate their commitment. Hawataki mzaha. Sio huku gov. Unakuta mhudumu wa ofisi unajua kabisa huyu kichwani chenga tu, kitaaluma.

Ni maeneo machache sana katika government utakuta watu wana madini hata akisema awagawie hayaishi.

Mwaka 2009 nilikwenda HQ ya CRDB bank na bro. Siku ya weekend kumsaidia kazi fulani. Tulipokuwa pale ndani akaniambia unajua dogo hapa ofisini kuna wakurugenzi 12 ukiachana na Executive director ambaye ni mdachi.

Na kila mtu ana Master zisizopungua 2, tena sio za bongo. Na kila mmoja ana ofisi 3 humu ndani, mimi pekee nina ofisi 2 ndiyo mtu wa chini wa hawa jamaa.

Kwa ushahidi alinionyesha ofisi moja sikujua ni director wa nini nilikuwa mchanga kitaaluma. Ofisi ina computer 3, meza 3 na kabati la vitabu tena lugha kama French na zinginezo ukiachana na English. Akaniambia hii ni ofisi ya mtu mmoja tu pekee.

Jamani tusilingie vyeti tulivyonavyo, Jivunie achievements ulizonazo mfano:
-umepata award ngapi?
-ume publish article ngapi kuhusu professional yako?
Kuna watu wanakwambia mimi siwezi kupublish kwa sababu sio academician. Wabongo tuna mazoea,mazoea yana taabu jamani!
-Ume host au ku introduce project ngapi katika ofisi yako?
-umeshiriki kwenye tafiti ngapi na wataalamu wengine wa fani yako?

Tunabaki tunaringia shule tulizosoma wakati hakuna tulichofanya zaidi ya kuwa kazini na kungoja mishahara. Ukimuuliza umesoma chuo gani, haraka sana UDSM, Mzumbe, SUA, KCMC, Muhimbili, BUgando,

Mlete kwenye madini aliyopata huko, kweupee kama ngano ya kutengenezea keki ya Bakhressa.

Ukimuuliza una elimu gani haraka sana hata kusita, kujiuliza kwanini anataka kujua elimu yangu?
Ni kipi hasa kimemvutia? Mtu anaweza kukisia kuwa una elimu kubwa sana bila hata kumwambia kutokana na namna jinsi unavyo act mbele ya wengine.


Napoleon aliwahi kusema, the world will pay you for what you do and not for what you know!

Unaweza usipate shida kwenye interview kwa sababu CV yako inajieleza, una mengi umefanya, inaonyesha kuwa you are open minded person, not conservative .

Sometimes GPA uliyonayo inakuwa chanzo cha ugumu wa interview, watu watakupiga maswali ambayo wanatarajia kuwa kichwa kina madini mengi, kumbe wapi, ulisoma kujibu UE na kutafuta course work tu!

NB: Samahani kwa vyuo nilivyotaja hapo juu, sina maana mbaya ila nimetolea mfano tu.
Mwaka 2009 CRDB walikuwa na executive director mdutch yupi huyo?
 
unapoingia kwenye interview unaona watu wanaandika pale kuna kitu kinaitwa score sheet of interview ambapo inabeba kila kitu na marks zake mfano communication, Leadership skills, Appearance in sense of proffesionalism alafu tunakuja kitu muhimu sasa technical capability of the position hapa ndo mtihani sasa

mfano mtu wa Accounts unamuuliza statutory deductions na asilimia zake holaaaa
SDL
WCF
NSFF

reports submision to TRA kama PAYE na zinginezo

huu ni mfano tu hata kwa kada ya sales and marketing kuna KPI muhimu sana kuzijua pia kuandaa route plan , marketing plan na kuwa na mbinu za kufikia target mambo zote za SWOT mambo za P5 yn price promotion physical distribution mambo yoye ya targeting positioning and segementation

pia n watu wa hr kuandaa documents kama termination notice contracts hearing notice warning letter policies km employment policies hiv policies code of good conducts

pia kujua labour law hasa termination leave na mengineyo yanayopatikana kwenye labour law

pia na hr systems

hakikisha unaenda kwenye interview hukutan n suprise hata kidogo
 
Back
Top Bottom