BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,041
Leo manager kazini alinipa kibarua cha kuinterview candidates oficin. To be honest watu bdo hawajui kujieleza jaman, mtu hata tell us abt yourself inamshinda?? Dada zetu ndo hamna kitu wanajiuma tu, mtu unamwambia ataje duties za post ya kazi alo apply lkn wapi, then mtu anakuja kulaumu hku jf cjui nmepiga interview majib sipati. Sasa nakwambia ukiona umekaa 3days toka upige interview kimya jua ww uliharib kwa ps nyingi ukipita haizid 24hrs watakuita wakupe mkataba.
Leo nataka kuwapa mbinu pindi unapoitwa kufanya interview na private sectors (PS)
PS hawakuajil wew kwaajili ya kukupa mshahara ila wanakuajili wewe kwaajili ya kupiga kazi ndomana ps nyingi wanahitaj experiences na skills zako na sio gpa, GPA kwao haimati sana. Yan ps wanakutumia vilivo lazma uwe asset kwao lasivyo ngum sana kupata kazi, je unakitu gan unique ambacho kinakutofautisha na applicants wengine??
Kabla ya interview fanya research abt the company/organization jua profile yake hapa nazungumzia vision, mission nk.., mfano kama campun inataka mtu wa projects wewe kama applicant inabd ujue duties za project coordinator, assistant,manager nk kutokana na post ya kazi inavotaka. Nenda deep zaid Fanya research kujua project zilizofanyika nyuma kuna challenge gan ilitokea mpaka wakahitaj mtu wa project jua kbsa kuna miss somewhere sasa hapo kaz kwako, nenda beyond zaid tafuta na project ambazo campun inataka fanya kila campun ina targets na plan zake each year so kama iliplan kufanya projects 10 ndan ya mwaka bhs lazma zifanyike mf umejua kuna project zitafanyika so waambie kampun imefanya projects 5 na zmebak5 bhs hzo 5 zilizobaki nitafanya 1,2,3 nk asee ww huwez kosa kaz coz unakuw upo serious na kaz hawawez kukunyima kazi. Utaonekan uko unique
Sasa baada ya kujua hvo vitu mhm japo nimeandka kwa ufupi. Siku ya interview fanya yafuatayo kama inafanyika sa4 wewe wai nusu saa kabla ya, usichelew cos utapaniki utashindwa jieleza vzr ndo hapa mtuu anaanza jiuma uma, kingine vaa pendeza vzr kma una saa tupia usisahau na unyunyu, nyoa ndevu vzr na nywele zichonge yan uwe presentable na approachable. Chukua notebook yako na pen. Usisahau kumwomba mungu unavotoka home. Nakupa trick ingine kama ww ni mwoga hujiamin piga hata bia moja ili ikupe kujiamin itakusaidia.
Ukiingia kwa chumba cha interview coz ukiitwa utakuta managers wapo wanakusubir sasa ww wasalimie wote kwa kuwapa mkono huwa hawazid wa2 maranyingi sijui kwa organization zngine, tabasam muda wote, usiwe na overconfidence.
Kwenye interview huwez jibu maswal yote so hta kama utashindwa jibu1 usipanik kama jib hujui bt try ntawapa mbn zngne nxt time.
Kwenye interview kuna qns ambazo nizawekwa kwaajil ya kukuchanganya tu ila core qns huwa hazizid 2. Na kila stage inamax kuanzia physical appearance, confidence, na the way unavojib maswal.
NB: kumbuka unavokwenda kwa interview kuwa serious jua ile ni kaz unaitaka, ila kama hutatake serious itakuw tatizo. Jiandae kama vle ambavyo unamtihani. Then acha uoga. Ukifanya hyo utaleta mrejesho
Leo nataka kuwapa mbinu pindi unapoitwa kufanya interview na private sectors (PS)
PS hawakuajil wew kwaajili ya kukupa mshahara ila wanakuajili wewe kwaajili ya kupiga kazi ndomana ps nyingi wanahitaj experiences na skills zako na sio gpa, GPA kwao haimati sana. Yan ps wanakutumia vilivo lazma uwe asset kwao lasivyo ngum sana kupata kazi, je unakitu gan unique ambacho kinakutofautisha na applicants wengine??
Kabla ya interview fanya research abt the company/organization jua profile yake hapa nazungumzia vision, mission nk.., mfano kama campun inataka mtu wa projects wewe kama applicant inabd ujue duties za project coordinator, assistant,manager nk kutokana na post ya kazi inavotaka. Nenda deep zaid Fanya research kujua project zilizofanyika nyuma kuna challenge gan ilitokea mpaka wakahitaj mtu wa project jua kbsa kuna miss somewhere sasa hapo kaz kwako, nenda beyond zaid tafuta na project ambazo campun inataka fanya kila campun ina targets na plan zake each year so kama iliplan kufanya projects 10 ndan ya mwaka bhs lazma zifanyike mf umejua kuna project zitafanyika so waambie kampun imefanya projects 5 na zmebak5 bhs hzo 5 zilizobaki nitafanya 1,2,3 nk asee ww huwez kosa kaz coz unakuw upo serious na kaz hawawez kukunyima kazi. Utaonekan uko unique
Sasa baada ya kujua hvo vitu mhm japo nimeandka kwa ufupi. Siku ya interview fanya yafuatayo kama inafanyika sa4 wewe wai nusu saa kabla ya, usichelew cos utapaniki utashindwa jieleza vzr ndo hapa mtuu anaanza jiuma uma, kingine vaa pendeza vzr kma una saa tupia usisahau na unyunyu, nyoa ndevu vzr na nywele zichonge yan uwe presentable na approachable. Chukua notebook yako na pen. Usisahau kumwomba mungu unavotoka home. Nakupa trick ingine kama ww ni mwoga hujiamin piga hata bia moja ili ikupe kujiamin itakusaidia.
Ukiingia kwa chumba cha interview coz ukiitwa utakuta managers wapo wanakusubir sasa ww wasalimie wote kwa kuwapa mkono huwa hawazid wa2 maranyingi sijui kwa organization zngine, tabasam muda wote, usiwe na overconfidence.
Kwenye interview huwez jibu maswal yote so hta kama utashindwa jibu1 usipanik kama jib hujui bt try ntawapa mbn zngne nxt time.
Kwenye interview kuna qns ambazo nizawekwa kwaajil ya kukuchanganya tu ila core qns huwa hazizid 2. Na kila stage inamax kuanzia physical appearance, confidence, na the way unavojib maswal.
NB: kumbuka unavokwenda kwa interview kuwa serious jua ile ni kaz unaitaka, ila kama hutatake serious itakuw tatizo. Jiandae kama vle ambavyo unamtihani. Then acha uoga. Ukifanya hyo utaleta mrejesho