Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

Ndugu zetu wanyaru land, hii wu! wu! wu! [HASHTAG]#mbwa[/HASHTAG] kwao ni barbeque moja maridadi-matata sana!
 
Biashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive,Likoni Ferry...nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!!!!

Msiseme sikuwahabarisha....


8032221238_ddda6d5ed5_b.jpg

Mombasa siendi ng'o

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom