USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Nilikuwa namheshimu sana Mr Dominic Cummings tangu zamani na hasa alipoanza kuwa mshauri mkuu wa waziri mkuu wa U.K. kipindi cha hoja ya kujiondoa kwenye umoja wa ulaya ila leo ameniaacha hoi.
Japo ni mhafidhina kama mimi ila hapa alipaswa resign bila kweli
Waandishi wamemkaba sawasawa
Kwa wasio fahamu mshauri huyu anashutumiwa na umma wa wananchi kwa kutoka nje na kuzunguka akitoka London mpaka Kwan Durham kwa gari kipindi serkali ikiwa umeui mtu yoyote kutoka nje
Japo ni mhafidhina kama mimi ila hapa alipaswa resign bila kweli
Waandishi wamemkaba sawasawa
Kwa wasio fahamu mshauri huyu anashutumiwa na umma wa wananchi kwa kutoka nje na kuzunguka akitoka London mpaka Kwan Durham kwa gari kipindi serkali ikiwa umeui mtu yoyote kutoka nje