Wenye magari yao wataisoma namba 😀😀
Da huyu kaua balaa, Alipe faini gari yake haijaonekana barabarani kwa wiki 3.
😂😂
Chini ya mwembe? are you serious? Kama gari yangu mbovu je?kwa wale mnaodaiwa fine za magari yenu sahv
Hata ukilipaki chini ya mwembe linafatwa tu
Mpaka mlipe madeni
Ova
View attachment 1684002
Umekuja tanzania lini mkuu?kama ni jana au leo umepitwa na mengi....ila usiombe ubambwe na gari lako bovu chini ya muembe hata uonyeshe katiba,pinalcode ,tr....pesa itakutoka tuChini ya mwembe? are you serious? Kama gari yangu mbovu je?
Trafik anaruhusiwa kukamata gari yenye makosa ikiwa barabarani inatembea.
Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
Tutahamia kwenye ule usafiri pendwa wa kanda ya ziwa.🤣Baiskeli soon tunazijia pia
Ushuru wake upo mzee ben alifuta its just a matter ya kuirudisha tu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Duh watakuja hko napoTutahamia kwenye ule usafiri pendwa wa kanda ya ziwa.
Dada yangu mbona Cashless society was there before. Watu walibadilishama ng'ombe na mahindi. Kwann sasa hivi ndo iwe antichrist?