Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,636
Hivi ni kwa nini wale lecturers waliobahatika kusoma postgraduate studies zao nje ya Tanzania wanakuaga watu waelewa sana. Yaani utakuta kwenye test au UE analeta vile vitu amefundisha.Na hata kama ufaulu kwenye test utakua mbaya basi hatosita kutoka "make up".Sasa tatizo linakuja kwa wale postgraduate zao wamefanyia Tanzania....duuhhh...hawa jamaa wanakuaga na roho kama za walimu wa sekondari...Hiv ni kwanini?