Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,696
- 3,472
Hii hutokea mkuu.. hii ni kwasababu bado moyo wako unahitaji kula ujana, haujawa tayari kujifunga kwa mtu. Chakufanya jipe muda.. usikimbilie ndoani sasahivi, moyo unaamini kuna mtu bora zaidi ya unaekuwa naye wakati huo, ukijifunga kwa ndoa sasahivi utajuta. Jipe muda