Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 710
Achananae huyo jamaa hajui A-Level ni nini??
umeona mkuu..!!
Achananae huyo jamaa hajui A-Level ni nini??
Huyo jamaa nimesha muelezea kuwa A-Level hakuna ubahatishaji wewe mtu anapiga paper 1 paper 2 na practical bado anabahatisha tu???umeona mkuu..!!
Huyo jamaa nimesha muelezea kuwa A-Level hakuna ubahatishaji wewe mtu anapiga paper 1 paper 2 na practical bado anabahatisha tu???
Huyo jamaa nimesha muelezea kuwa A-Level hakuna ubahatishaji wewe mtu anapiga paper 1 paper 2 na practical bado anabahatisha tu???
Mazee inamaana mwaka huu wa2 wemefaulu sanaa au? Coz mwaka jana PCM waliopata 3 ya point 15 pia walipata vyuo tena engineering! Jaman inawezekana ukakosa chuo kabisa pa1 na kuwa na eligible zote 8?